Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,957
Looooooooooooooooooh. Kurithishana kumeanza tena. Ni yale yale ya Ubungo Bus Terminal. Naamini hapa M.P Environment atapewa!!!!!! Guess who owns it!!!!!??? Ni yule yule wa Ubungo, ni yule yule wa Parking Systm, ni yule yule amepewa tender ya usafi manispaa ya temeke (sijui kama manispaa zingine yupo, japo kwa kupitia kampuni tofauti!!!), you name all. Ni mtandao wa kula unatengenezwa. Hakuna cha kuboresha huduma wala nini!!!!