Serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar yalikuwa makubaliano chini ya mwembe hayapo Kikatiba

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,902
52,003
Makubaliano ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar hayana nguvu kisheria wala kikatiba kwa sababu yalifanyika chini ya mwembe.Hayamo ndani ya katiba ya Zanzibar wala kwenye sheria ya tume ya Uchaguzi ya Zanzibar.Kuunda hiyo serikali ya umoja wa kitaifa ni hiari si amri ya katiba.

Dk.Shein unda serikali ya wana CCM watupu
 
Tumesharudi kwenye mfumo wa chama kimoja Zanzibar baada ya hawa wanaojiita wapinzani kutaka kuvuruga amani ya nchi
 
Kwani miembe si bado ipo wakakae tena kwa amani ya nchi yao!!
 
Tumesharudi kwenye mfumo wa chama kimoja Zanzibar baada ya hawa wanaojiita wapinzani kutaka kuvuruga amani ya nchi
Maneno yako ni sawa na kijiweni jamaa wakakwambia twendeni tukaibe benki na wewe ukakataa. Walipo rudi jioni wakakwambia hupati kitu kwa vile wewe umekataa kuja kuiba nasi. Vipi utajihisi umekosa kituuuu? Haramu ni haramu tu hata kama utaiweka chini ya Xmass tree, ufanye imeletwa na Santa. Endeleeni kula haramu yenu, wakati Mungu ameahidi kwa kusema, "dua ya anayekula haramu haipokei"
 
Makubaliano ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar hayana nguvu kisheria wala kikatiba kwa sababu yalifanyika chini ya mwembe.Hayamo ndani ya katiba ya Zanzibar wala kwenye sheria ya tume ya Uchaguzi ya Zanzibar.Kuunda hiyo serikali ya umoja wa kitaifa ni hiari si amri ya katiba.

Dk.Shein unda serikali ya wana CCM watupu

Mara hii mnalo ..itabidi kodi za bongo zikalipe tu mishahara ya kina sheni...maana wameshasema "Shein na CCM" Wako Tayari Wazanzibar wafe njaa Kuliko Kuachia Madaraka.
 
Juha kweli aliyesema hayo maneno, hivi kwa akili yako hiyo serikali bila kuwepo wazanzibar itakuwa serikali ya kitu gani?
 
Na zile kura za maoni zilipigwa chini ya miembe? I am telling you, Tanganyika will drop Zanzibar like it's hot.
 
Makubaliano ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar hayana nguvu kisheria wala kikatiba kwa sababu yalifanyika chini ya mwembe.Hayamo ndani ya katiba ya Zanzibar wala kwenye sheria ya tume ya Uchaguzi ya Zanzibar.Kuunda hiyo serikali ya umoja wa kitaifa ni hiari si amri ya katiba.

Dk.Shein unda serikali ya wana CCM watupu
Bora ungekaa kimya tu mkuu, hongera lakini its another thread
 
Tumesharudi kwenye mfumo wa chama kimoja Zanzibar baada ya hawa wanaojiita wapinzani kutaka kuvuruga amani ya nchi
Mbona washiriki wengi tu jamani, ADC, UPDP, Chama hakina hata Muakilishi eti mtu anataka awe Makamu wa Rais
 
Kwani miembe si bado ipo wakakae tena kwa amani ya nchi yao!!

Mkuu haina maana kwa uhuni uliofanywa na hawa watu wa CCM, ni kama wamemla bata na manyoya yake kabisa sasa miembe ya kazi gani tena hapo!!?....... akaimalizie na kuikata kabisa amani tutailinda kwa mitutu na vifaru...
 
Makubaliano ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar hayana nguvu kisheria wala kikatiba kwa sababu yalifanyika chini ya mwombeki......

Hizo itikadi na milengo yenu ya kisiasa inawafanya kutoruhusu akili zenu zifanye kazi.

Yaani ktk akili yako Serikali itaundwaje bila misingi ya kikatiba na kisheria? Mnaweza kwa muda kujipanga nyakati kuwa kwa kuwa Dk Shein na CCM wako madarakani basi mambo sawa, target achieved. Lkn kumbuka hata Nkurunziza ni Rais wa Burundi, target achieved, lkn hali ikoje?

Je, sababu zilizopelekea kuundwa SUK zilikuwa zipi, na je sababu hizo bado zipo? Labda kama mmewaza kuwa cha kwa ni kushika madaraka ndio muhimu zaidi kuliko jinsi madaraka yalivyopatikana, lkn ukumbuke kuwa Karume naye alikuwa Rais wa Zanzibar wakati alipowaongoza Wazanzibari kupatana na kuunda SUK, kumbuka kuwa SUK haikuwa matakwa ya CCM bali ya Wazanzibari, na kwa kuvunja hiyo SUK sio matakwa ya Wazanzibari bali CCM.

Vv
 
Tumesharudi kwenye mfumo wa chama kimoja Zanzibar baada ya hawa wanaojiita wapinzani kutaka kuvuruga amani ya nchi

Mimi nilishaacha siasa za Tz maana nchi imejaa majority wenye akili za panya km zako, tujulishane km kuna option ya msituni niko tayari
 
Tumesharudi kwenye mfumo wa chama kimoja Zanzibar baada ya hawa wanaojiita wapinzani kutaka kuvuruga amani ya nchi
korokotwa pedeshee la kujipendekeza wewe ni kutundikwa jiwe shingoni na kutupwa kwenye kina kirefu ufe na hata mfupa wako usibaki weiver munayoenjoy sasa hivi itawatokea puani
 
Back
Top Bottom