Ingawa sijasikia kama Sudan na wao wameomba kuwa wanachama wa jumuiya ya Afrika ya Mashariki, but Sudan ya kusini tayari ni mwanachama wa EAC muda mrefu sasa. Ninachojua ni Somalia ndo wameomba kujiunga na juzijuzi Congo DRC na wao wameonesha nia wakati rais wao alipotembelea Kenya.Walioomba kujiunga na jumuiya ya Afrika mashariki ni South Sudan sio hao wa Khartoum
Hahaha --mshamba wawapi !?"Africa inahitaji Revolution....naiita Black Panther's Revolution
Kwa kutumia nguvu kubwa ya Mitandao ya kijamii
Kwanza tunaanzisha social network ambayo itaunganisha vijana wote Afrika wenye uchungu na Bara letu...tunauita Afrigram, tunaanza kuwaondao Marais wote wenye elements za Kidikteta kwanzia huyo wa Sudan
Yule tall wa Rwanda,yule kiburi wa Burundi na mwisho tunamalizia na Huyu Mshamba wa Tanga na Nyika
Halafu tunaweka Raisi mmoja Afrika nzima atakaye fata Uongozi wa sheria na Demokrasia
Naam Mheshimiwa saaana Tundu Lisuu
Halafu Afrika nzima inakua na vyama viwili tu vya siasi na Jeshi moja
Kisha tunaibadili jina Afrika,tunaiita "United State of Wakanda"
Na kuanza kutengeneza technology yetu wenyewe chini ya Rais wetu kpnz Lisuu,mamaae"
Peter alisikika akisema baada ya kutazama kwa Mara ya Kwanza filamu ya "Black panther'
Kwa kweliAfrika, milango ya kuingia madarakani ipo wazi, ila yaa kutoka madarakani fungo zake bado hazijatengenezwa
Ila kwakuwa ni mwenye kiti wa chama chenu basi unaishia kujiuma uma tuKabisa mkuu
Safi sana.. Aondoke aise ..nguvu ya uma haijawahi kumuacha kiongozi salamaHuyu alikuwa apinduliwe ila jeshi lilimpa chaguo aamue mapema kabla na ameamua kwa kuvunja serikali yote ili isionekane kama kapinduliwa
Jeshi lisiloingizwa kwenye siasa ndio linavyotakiwa kuwa siku zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Sudan waliomba kujiunga kabla hata ya South Sudan wakakataliwa...Walioomba kujiunga na jumuiya ya Afrika mashariki ni South Sudan sio hao wa Khartoum
Completely irrelevant!!.Sasa unashangaa Rais wa Sudan wakati tunae Mwenyekiti Mbowe.Anayo yafanya Al bashir ndiyo anayofanya DJ ndani ya Chadema.
Sent using Jamii Forums mobile app
"Africa inahitaji Revolution....naiita Black Panther's Revolution
Kwa kutumia nguvu kubwa ya Mitandao ya kijamii
Kwanza tunaanzisha social network ambayo itaunganisha vijana wote Afrika wenye uchungu na Bara letu...tunauita Afrigram, tunaanza kuwaondao Marais wote wenye elements za Kidikteta kwanzia huyo wa Sudan
Yule tall wa Rwanda,yule kiburi wa Burundi na mwisho tunamalizia na Huyu Mshamba wa Tanga na Nyika
Halafu tunaweka Raisi mmoja Afrika nzima atakaye fata Uongozi wa sheria na Demokrasia
Naam Mheshimiwa saaana Tundu Lisuu
Halafu Afrika nzima inakua na vyama viwili tu vya siasi na Jeshi moja
Kisha tunaibadili jina Afrika,tunaiita "United State of Wakanda"
Na kuanza kutengeneza technology yetu wenyewe chini ya Rais wetu kpnz Lisuu,mamaae"
Peter alisikika akisema baada ya kutazama kwa Mara ya Kwanza filamu ya "Black panther'
Vijana Woote wa bongo makondoo. Wenzenu tulikataliwa vyuo vikuu sababu ya kadi za tanu na ccm.Unajua nguvu ya Social network na Umoja wa vijana?
Mwaka tu Hawa wapumbavu wote wanaondolewa
Trump ametangaza hali ya dharura kwa ajili ya kujenga ukutaKhaa! Afrika bwana. hali ya dharula kwa mwaka mmoja? He must be kidding..
Social Network inakuwa na nguvu ikitumiwa na vijana wanaojitambua na sio kama vijana wa kitanzania wanaoshindania "followers" na "likes" huko Instagram na Facebook.Unajua nguvu ya Social network na Umoja wa vijana?
Mwaka tu Hawa wapumbavu wote wanaondolewa
Ni kweli mkuu baada ya utengano wa sudan na sudan kusini nchi iliyokua imara ni sudan na wakaomba kujiunga lakini ikaonekana kama kiutamaduni na kijamii na ukaribu wako mbali sana na wanajumuia wa afrika mashariki. Sudan kusini ilikubaliwa kwa sababu inafanana mambo mengi na nchi za afrika mashariki lakini pia kwa sababu ya ulinzi sababu sudani kusini haikuwa na nguvu baada ya kutengana na waarab wa sudanSudan waliomba kujiunga kabla hata ya South Sudan wakakataliwa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaa mkuu