...🙄🙄🙄...Hao watanzania ukiwafuatilia utakuta wamewahi kuhudumu kama green guard huko ccm
ndiyo ni majina ya Kenya, lakini ilo haliondoi uraia wake tanzania.Lakini mbona njoroge ni majina ya Kenya?
Ongeza nyama kidogo hapo kwa Azory, japo umesema utaki kuongea zaidi kuhusu yeye.Hawa magaidi hutokea ndani ya jamii zetu, ni ndugu jamaa na marafiki zetu, na mara nyingi ni watu wenye msaada mkubwa sana kwenye jamii wanazoishi hasa kifedha na huduma zingine za misaada kwa jamii, ndugu jamaa na marafiki. Hivyo kukabiliana nao ni kazi kubwa sana sababu jamii nyuma inakuwa nyuma yao katika kuwalinda.
ndio maana Tanzania iliamua kuwafanya jamaa wa kibiti kama Sri Lanka ilivyowafanya jamaa wa Tamil tiger.
Mafanikio ya oparation hizi mbili zenye mafanikio makubwa kulinganisha na kote ambako hawa jamaa hufanya huu uhuni wao, labda ukiongeza na ufilipino ni kufumba macho na kuua, ikiwezekana kuua raia yeyote anayezagaazagaa eneo la hatari.
Ndio maana huwa sisemi sana juu ya azory gwanda, sababu kiuhalisia alikuwa sehemu ya hatari nyakati za hatari.
hivi DNA inataarifa za uraia mtu?Tunaomba miili yao tuifanyie DNA na maji ya bendera yetu.. (Joke) ila inabidi tuwe macho lisemwalo labda lipo kweli
Aisee duh,ila sijaelewa vizuri Mkuu.....!!Vitukuu vya Mohammed viko kazini vinatafuta thawabu na mabikira 72 huko akhera
Ukitulia utaelewa tu.Aisee duh,ila sijaelewa vizuri Mkuu.....!!
Kina Njoroge wamejaa sana Kenya.Hivi kina Njoroge ni watanzania wa maeneo gani vile?
Aisee.Shukrani Mkuu....Ukitulia utaelewa tu.
Wanasema viongozi wa kundi hilo la kigaidi ni raia wa Tanzania
Hebu Fafanua kidogo mkuuNdio
Hata Tz wapo kina Njoroge.Kina Njoroge wamejaa sana Kenya.
Nope!...Wanazungumza Kiswahili safi kama cha hapa Tz.magaidi wanazungumza kisukuma!! ....