Serikali ya Msumbiji imesema viongozi wa Kundi la Kigaidi waliouawa nchini humo ni Watanzania

Hii ni hatari sana
 
'Inaelezwa kuwa Njoroge ndiye aliyeanza mashambulizi Mocimboa da Praia tarehe 5 mwezi Oktoba mwaka 2017,'' Waziri alieleza akinukuliwa na shirika la habari la DW Afrika.

Naona Njoroge amewakilisha hapo mkuu.
Hivi tz tunao akina njoroge?
 
Hatari Sana hii
 
29 Juni 2019
Kitaya, Mtwara
Tanzania

2019 Kitaya waaswa kutokwenda Msumbiji

Wananchi wafunguka mauaji ya mwaka 2019 kijijini Kitaya
 
Inawezekana unachosema ni kweli, maana hata hapa jf uzi uliokuwa unatoa updates umefungwa.
 
Taarifa za lini hizi mkuu?... Au ni redio mbao (habari ambazo hazijathibitishwa)?
Ingia hata YouTube andika kijiji cha kitaya utapata maelezo kiasi. Vyombo vya nje vinatangaza ila vyombo vya ndani vipo kimya
Habari ililetwa humu mod wakaifunga japo watu ambao tupo nao mtaani ndugu zao wametekwa na wengine kuuawa.
 
Ingia hata YouTube andika kijiji cha kitaya utapata maelezo kiasi. Vyombo vya nje vinatangaza ila vyombo vya ndani vipo kimya
Habari ililetwa humu mod wakaifunga japo watu ambao tupo nao mtaani ndugu zao wametekwa na wengine kuuawa.
..Dah!... Inatisha
 
Hao watanzania ukiwafuatilia utakuta wamewahi kuhudumu kama green guard huko ccm
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…