Hii ni hatari sanaMkuu, kweli kabisa hata mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mtwara amesikika akilalamika ktk misafara yake wapo waandishi wa habari wanaonekana wakinakili habari kwa kalamu, peni na kurekodi kwa machine za kunasa sauti na video lakini mwenyekiti huyo wa chama dola anashangaa jioni au hata kesho yake habari za korosho au matishio ya kiusalama hazirushwi wala kuandikwa magazetini.
Hapo nakubaliana nawe kuna tatizo linalotufanya ku connect dots
Hivi tz tunao akina njoroge?'Inaelezwa kuwa Njoroge ndiye aliyeanza mashambulizi Mocimboa da Praia tarehe 5 mwezi Oktoba mwaka 2017,'' Waziri alieleza akinukuliwa na shirika la habari la DW Afrika.
Naona Njoroge amewakilisha hapo mkuu.
Hatari Sana hii17 October 2020
Kitanya, Nanyamba
Mtwara
Tanzania
Hiki ndio kinachoendelea Mtwara kwa sasa, hali ni tete
Maftaha Nachuma mbunge wa Mtwara aliyemaliza muda wake asimulia yaliyotokea kijijini Kitaya baada ya kijiji hicho kilichopo mpakani mwa Tanzania na nchi ya Mozambique
Wewe ni mama yake hadi ujue sii msukuma au ni msukuma?Hakuna msukuma anayeitwa Njoroge utakuwa unatania!
Nimesema hakuna jina la Njoroge usukumani. Mimi sijui kuhusu mama yake!!Wewe ni mama yake hadi ujue sii msukuma au ni msukuma?
Akija atatoa mijicho balaa 🤣 🤣 🤣Prof Kabudi njoo uweke mambo sawa..
Inawezekana unachosema ni kweli, maana hata hapa jf uzi uliokuwa unatoa updates umefungwa.Ni maajabu sana kuona hiyo habari inatangazwa kwenye mitandao pamoja na vyombo vya habari vya nje, kama una akili timamu lazima u connect dots, kuna mambo mengi sana ambayo serikali imezuia vyombo vya habari kutangaza, na kwa mazoea tuliyo nayo watanzania ni kwamba jambo lisipokua covered na vyombo vyetu vya habari basi kuna katazo
Hao watoto wametekwa wakiwa wapi?Aisee watoto wetu zaidi ya 20 waliotekwa je watarudi salama? Watanzania tuungane kwa pamoja kuung'oa huu ugaidi ulioingia tz
Aisee watoto wetu zaidi ya 20 waliotekwa je watarudi salama? Watanzania tuungane kwa pamoja kuung'oa huu ugaidi ulioingia tz
Haya ndio madhara ya serikali inayobinya vyombo vya habari!Hao watoto wametekwa wakiwa wapi?
Taarifa za lini hizi mkuu?... Au ni redio mbao (habari ambazo hazijathibitishwa)?Haya ndio madhara ya serikali inayobinya vyombo vya habari!
Ingia hata YouTube andika kijiji cha kitaya utapata maelezo kiasi. Vyombo vya nje vinatangaza ila vyombo vya ndani vipo kimyaTaarifa za lini hizi mkuu?... Au ni redio mbao (habari ambazo hazijathibitishwa)?
..Dah!... InatishaIngia hata YouTube andika kijiji cha kitaya utapata maelezo kiasi. Vyombo vya nje vinatangaza ila vyombo vya ndani vipo kimya
Habari ililetwa humu mod wakaifunga japo watu ambao tupo nao mtaani ndugu zao wametekwa na wengine kuuawa.
KatayaHao watoto wametekwa wakiwa wapi?
Sijui jeshi letu kama litafanikiwa kuwaokoa wakiwa haiHalafu wa kike wote, 15-20 years, magaidi wanataka kuoa kwa nguvu??
hujui?Wapo wengi sanaDuh!...Ina maana kuna Watanzania wameungana na hao wahuni?