Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,294
Hii ni hatari sanaMkuu, kweli kabisa hata mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mtwara amesikika akilalamika ktk misafara yake wapo waandishi wa habari wanaonekana wakinakili habari kwa kalamu, peni na kurekodi kwa machine za kunasa sauti na video lakini mwenyekiti huyo wa chama dola anashangaa jioni au hata kesho yake habari za korosho au matishio ya kiusalama hazirushwi wala kuandikwa magazetini.
Hapo nakubaliana nawe kuna tatizo linalotufanya ku connect dots