Serikali ya Magufuli ni nini? Ni nani?

Serikali ya Magufuli ni nini? Ni nani?

Nafikiri kuna watu walikitumia kifo cha Magufuli ili kujaribu kumshawishi mama ajipambanue kama yeye nje ya dira, falsafa na wingu vilivyotanabaisha kile wanachokiita "Serikali ya Magufuli".

Wengi wa hawa watu ni wa kutoka upinzani na wale ambao kwa namna moja walimwona kama Magufuli aliwaletea kiwingu kwenye mambo yao. Hao wanaitaka Tanzania "mpya" kabisa tofauti na Tanzania ilivyokuwa chini ya Magufuli.

Kwa bahati mbaya sana kwao Magufuli had a lot of common sense katika siasa zake. Hakuna alichokifanya Magufuli ambacho kwa namna moja au nyingine hakikuwa inspired na matamanio ya watanzania walio wengi, hasa baada ya miaka 10 ya JK.

Magufuli alikuwa very suspicious na motives za western powers kwa nchi za Afrika, pamoja na ukoloni mamboleo unaolenga kuifanya Afrika liwe dampo au soko la bidhaa kutoka nchi za magharibi.

Na ufanisi wa JPM katika mambo yake ni kwa sababu ya falsafa zake hizo. Sasa mama ana kibarua kizito mbele zake. Kama anataka kuwafurahisha wale ambao waliona Magufuli hafai basi awe tofauti na Magufuli kwa kila kitu. Kwenye siasa za ndani, basi aturudishe enzi za JK ambako kila kukicha wapinzani ilikuwa kuandamana huku na kule wakitangaza maovu ya serikali na ufisadi wake. Walau leo hii Mbowe ameizunguka Tanzania sijamsikia akihubiri ufisadi (sijajua kwa nini). Kwenye siasa za kimataifa mama alianza kwa kutaka "kuifungua" nchi, as if nchi ilikuwa imefungwa. Matokeo yake nadhani ndio haya ya wamarekani kutoa msaada wa chanjo ya corona. Yikes!
 
Haujawahi kusikia watu wanamlaumu Nyerere hadi leo kwa mambo ambayo wamekua na nafasi ya kuyarekebisha?

Hii naona ni kisingizio tu, mbaya zaidi hata yeye mwenyewe Mama alikiri hadharani kwamba yeye na JPM ni kitu kile kile, hapo alieleweka japo baadhi ya mambo aliyoyafanya yalipingana na kauli yake.

Kwenye hiyo inayoitwa serikali ya JPM wote walikuwepo na walishika nafasi za juu ikapelekea wakamate uskani wa nchi. Unaposema kuondoa uongozi wa JPM sijajua unataka usimike upinzani na ufumue kuanzia chama tawala au ni kubadili watu wote waliopo madarakani?

Nimeona hata TL amesema kweli jemedari na ukatili wake lakini hakuwahi kuwabambikia watu kesi za ugaidi. Nikasema kweli siasa na ukahaba tofauti ni bidhaa tu, lakini siasa ni zaidi ya ukahaba. Usimwamini mwanasiasa yeyote.

Acha tusubirie wajuvi waje kutupa darasa mkuu.
Mkuu umemalizia vzr, siasa ya ukahaba Ni watt wa baba na mama mmja, ila matumbo mbalimbali, siasa Ni highest stage ya ukahaba, ndyo maana kunakipindi tulipata mtu ambae si mwanasiasa uliona?? Sa iv wameanza hata wao kumkubali,
stay tuned,
 
Hatuna serikali ya magufuli bali serikali ya jamhuri ya muungano wa TZ.

Tuna Awamu za uongozi ngazi ya rais katika jamhuri ya muungano wa TZ.

Awamu ya 5 ndio ya Magufuli ,sasa ni Awamu ya 6.

Kuna viongozi walikuwepo awamu zilizopita na bado wanaendelea na wengine hawaendelei.

Mh SSH sasa hayupo awamu ya magufuli ,alishaondoka ,enzi za magufuli yeye alikuwa VP.
Tuko hatua ya sita japo tunatembea kwa hatua za nne,[emoji16][emoji16][emoji16] nchi inamambo hii acha tu..
 
Nafikiri kuna watu walikitumia kifo cha Magufuli ili kujaribu kumshawishi mama ajipambanue kama yeye nje ya dira, falsafa na wingu vilivyotanabaisha kile wanachokiita "Serikali ya Magufuli".

Wengi wa hawa watu ni wa kutoka upinzani na wale ambao kwa namna moja walimwona kama Magufuli aliwaletea kiwingu kwenye mambo yao. Hao wanaitaka Tanzania "mpya" kabisa tofauti na Tanzania ilivyokuwa chini ya Magufuli.

Kwa bahati mbaya sana kwao Magufuli had a lot of common sense katika siasa zake. Hakuna alichokifanya Magufuli ambacho kwa namna moja au nyingine hakikuwa inspired na matamanio ya watanzania walio wengi, hasa baada ya miaka 10 ya JK.

Magufuli alikuwa very suspicious na motives za western powers kwa nchi za Afrika, pamoja na ukoloni mamboleo unaolenga kuifanya Afrika liwe dampo au soko la bidhaa kutoka nchi za magharibi.

Na ufanisi wa JPM katika mambo yake ni kwa sababu ya falsafa zake hizo. Sasa mama ana kibarua kizito mbele zake. Kama anataka kuwafurahisha wale ambao waliona Magufuli hafai basi awe tofauti na Magufuli kwa kila kitu. Kwenye siasa za ndani, basi aturudishe enzi za JK ambako kila kukicha wapinzani ilikuwa kuandamana huku na kule wakitangaza maovu ya serikali na ufisadi wake. Walau leo hii Mbowe ameizunguka Tanzania sijamsikia akihubiri ufisadi (sijajua kwa nini). Kwenye siasa za kimataifa mama alianza kwa kutaka "kuifungua" nchi, as if nchi ilikuwa imefungwa. Matokeo yake nadhani ndio haya ya wamarekani kutoa msaada wa chanjo ya corona. Yikes!
Mkuu ukiwa na nyumba nzr umeipaka rangi yoyot ambayo kwako imeiona nzr, halafu akaja mtu akainunua ili aibadioi Ile rangi ionekane yake anapaswa kuiondoa Kwanza rangi ile yote Kisha apake anayotaka yy, ila akiipaka rangi juu ya ile rangi ambayo ilikuwa imepakwa mwanzo huwa inang,aa kwa mda tu Kisha baada ya mda inapauka kuliko mwanzo, na mgogolo Sasa huwa ni kwa namna ipi utairudisha Kama mwanzo wakati hela zimeisha..

Stay tuned...
 
Tuliambiwa Samia anaongozwa kutoka Msoga!

Lakini lawama bado anapewa Magufuli.
Mkuu! Hawa wana bavicha ni kwamba wamechanganyikiwa hawajui wafanyaje ndio maana unaona wananena kwa lugha
 
Mkuu ukiwa na nyumba nzr umeipaka rangi yoyot ambayo kwako imeiona nzr, halafu akaja mtu akainunua ili aibadioi Ile rangi ionekane yake anapaswa kuiondoa Kwanza rangi ile yote Kisha apake anayotaka yy, ila akiipaka rangi juu ya ile rangi ambayo ilikuwa imepakwa mwanzo huwa inang,aa kwa mda tu Kisha baada ya mda inapauka kuliko mwanzo, na mgogolo Sasa huwa ni kwa namna ipi utairudisha Kama mwanzo wakati hela zimeisha..

Stay tuned...
Mfano mzuri sana.

Busara ni kutulia uisome kwanza ramani ya nyumba na rangi yake. Vitu vya kubadilisha vitakuwepo tu ikibidi lakini baada ya kuwa umeifahamu kisawasawa hiyo nyumba.

Mimi so far sina ishu sana na mama. Obviously uwezo wake hauwezi kuwa sawa na wa JPM, ila kama mtu aliyerithi urais kwa mazingira yale, hakuna sababu ya kuibadilisha rangi nyumba wakati uwezo wa kusimama yeye kama yeye una mipaka.

Uzuri nahisi kama mama ana kabusara fulani hivi ka kustuka mapema na kujirudi kabla mambo hayajawa mazito. Hii nchi inahitaji uwe na moyo wa chuma kweli kweli vinginevyo unakwenda na maji.
 
Tuchukue maoni ya kutoka Burundi kuhusu baadhi ya wanaBurundi wanavyoiona serikali ya Mh. Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi baada ya Pierre Nkuruzinza 'kustaafu'.

Je hapa Tanzania awamu hii ya sita ya chama kilekile cha CCM 'kilichoshinda uchaguzi / uchafuzi October 2020 na serikali ileile ya 'Magufuli' , kwenda mbele awamu ya 6 wanajibainisha ni tofauti na serikali ile ya mwendazake(revered) hayati John Pombe Joseph Magufuli au wanamuenzi kwa vitendo mwendelezo vya kuvunja katiba, kubinya nafasi ya kuwepo demokrasia, kubambikiza kesi, kusitisha vyama vingi vya siasa visifanye shughuli za ndani mpaka uchumi wa nchi 'upae' na hata kufikiria kujenga sanamu ya Tsh. 400 millioni ili kuendeleza legacy ya hayati Magufuli mpaka 2025 na zaidi ?

Burundi’s former president nominated as ‘Supreme Guide for Patriotism’​

Jul 8, 2021 | 0
By Eddy-Claude Nininahazwe
President Evariste Ndayishimiye of Burundi has elevated his predecessor, the late Pierre Nkurunziza, with the title of “Supreme Guide for Patriotism.” The opposition and much of civil society is outraged. They consider Nkurunziza a “traitor president” and strongly reject the glorification of his administration.
We consider it shameful to nominate a controversial figure to the rank of a hero while some Burundians are still suffering from his selfishness and his inability to serve people with dignity.
— Bigirimana


Ndayishimiye bestowed the new title in tandem with legally establishing a new federal holiday dedicated to patriotism, which now will be celebrated every June 8. The law establishing the holiday was enacted on the eve of the one-year commemoration of Nkurunziza’s unexpected death. He died June 8, 2020, in Karusi, denying to the end the existence of the COVID-19 pandemic in Burundi, more than two months after Burundi’s health minister confirmed the country’s first two cases of the deadly virus.
The new law describes the late president’s “exceptional dedication to the defense of national sovereignty, to his awakening of the conscience of Burundi to the primacy of God, the value of the Burundian people, and love of the Fatherland.”
Evariste-ndayishimiye.jpg
President Evariste Ndayishimiye
National Patriotism Day commemoration
As Ndayishimiye presided over the festivities of the new national day of patriotism, his clothing was festooned with an image of his predecessor. The festivities took place in Gitega, the political capital of Burundi, where Nkurunziza was laid to rest. In a speech, Ndayishimiye called on Burundians to tackle the challenges of the nation by fighting poverty, consolidating peace and security, and working for social cohesion between the different sectors of the Burundian citizenry. He pledged to construct a center for patriotism on the grounds that house the tomb of the late president.
Supreme Guide, a controversial honorary title
The opposition in parliament registered dismay at singling out Nkurunziza to receive the superlative title. Agathon Rwasa, president of the National Congress for Freedom CNL party, which came in second in the most recent elections in May 2020, said, “Everyone at home loves their country, but some politicians want to make it seem that there are citizens who are more patriotic than others. Patriotism Day is not different from July 1, when the Burundians won independence at a dear cost. Those who helped achieve independence in 1962 deserve to be [called] patriots.”
  • Pacifique-Nininahazwe.jpg
    Pacifique Nininahazwe
  • Aghaton-Rwasa.jpg
    Agathon Rwasa

The opposition accuses Nkurunziza of grave human rights violations during his administration against those he believed to be opposed to his party, the Conseil National Pour la Défense de la Démocratie – Forces pour la Défense de la Démocratie. Tools of control are widely said to have included extrajudicial executions, enforced disappearances, arbitrary arrests and detention, and torture.
“Granting this honorary title to the late president is further proof that the party in power in Burundi is aligning itself with crime, impunity, and tyranny,” said Frédéric Bamvuginyumvira, president of the Coalition of Burundian Political Opposition Forces for the Restoration of the Arusha Accord. The group says the title is a shameless maneuver to exonerate the late president from guilt.
Frederic-Bamvuginyumvira.jpg
Frédéric Bamvuginyumvira, president of Cfor Arusha)
Administration of Nkurunziza as fifteen years of tragedy
Pierre Nkurunziza’s administration was marked by the elimination of political opponents, according to many in civil society. Pacifique Nininahazwe, president of the Forum for Consciousness and Development, said June 8 will serve as a day of remembrance and an annual occasion for victims of the Nkurunziza regime to seek justice. “The regime of Pierre Nkurunziza was characterized by tragedies in the years 2005 to 2015,” said Nininahazwe.

Attorney Janvier Bigirimana of the organization Tournons la Page recalled that Nkurunziza and a small circle of army generals made major decisions, including those that led to serious human rights violations. He said this unofficial, parallel governance structure led to disasters in all sectors of national life.

Source : Burundi’s former president nominated as ‘Supreme Guide for Patriotism’
 
Back
Top Bottom