Nime- admire dreams zake na speech zake labda anaweza endesha vitu let him try..nitakuwa nahudhuria sana campaign zake..nampa BIG UPHe is talking sensibles this guy, whatsoever!
He is worth listening to!
Nime- admire dreams zake na speech zake labda anaweza endesha vitu let him try..nitakuwa nahudhuria sana campaign zake..nampa BIG UP
Do we have any option? tufanyeje sasa hiyo ndiyo option kuwasikiliza wanasiasa na ahadi zao then ku-wa measure baada ya kuwachagua...ndio ustaarabu tulio nao kwasasa labda aje nabii tumsikilize...kwa kuwa ni wanadamu we have to listen, measure and choose among them...after five year we do the same circles and life goes on! umri unaenda.wote si wanatowa ahadi kibaaaaaao kwenye kampeni? baada ya uchaguzi, mnabaki kuwadai waliyoyaahidi! siasa bwana.... teh teh teh
do we have any option? Tufanyeje sasa hiyo ndiyo option kuwasikiliza wanasiasa na ahadi zao then ku-wa measure baada ya kuwachagua...ndio ustaarabu tulio nao kwasasa labda aje nabii tumsikilize...kwa kuwa ni wanadamu we have to listen, measure and choose among them...after five year we do the same circles and life goes on! Umri unaenda.
Baada ya kuongezwa...kitakachofuata ni...kuwasikiliza, kwa pima na kuwacahgua wakimo wagombea binafsi (si ndio hao hao wanasiasa) baada ya miaka mitano tunafanye the same...life goes on...option ipo nayo ni kuhakikisha uhuru wa kuchagua viongozi unaongezwa mfano wagombea binafsi