Jordan Government resigned amid of protest. Source: ALJAZEERA LIVE. Peoples power.
Tunausubiri uanze kushuka!!Upepo wa mabadiliko huu, ni wa ajabu...lets see. Mara uende north, mara south,lakini RESULTANT yake ni South!
Ngoja ushuke east afrika uone mziki wake
Wanachi wametingwa na mengi kuanzia ugumu wa maisha mpaka kwenye ufisadi
Si kweli! Taarifa yako si sahihi
hata bbc hawana hiyo habari kama to news!
Si kweli! Taarifa yako si sahihi
Mkuu naomba mo info ina maana Iran hawaikubali Govt ya Jordan ina maana USA wanawa2mia Jordan kuwatenda Wairan?Hiyo yaweza kuwa fake news .whatever USA allies must go kazi ya iran hiyo .