jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,381
- 25,476
Hivi ni mtumishi gani au ofisa gani wa ngazi zajuu anayeheshimika kimataifa na kitaifa ambaye ni zao la uongozi wa Mwinyi, Mkapa au Kikwete?
Kituko said:AshaRose Migiro, na Tibahijuka
Ha ha!Mi nadhani wote hao ni zao la mwalimu,teh teh teh!Sema mengine ni magugu tu.