fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 11,109
- 19,988
Je serikali ya Congo inachukia jitihada gani kuhakikisha nchi yake inakuwa na amani kama nchi zingine?Ni kitu ambacho hakiwezekani kufanyika.
Basi wacha iwe zone isiyokalika mpaka madini yatakapoisha ukanda ule na nchi zinazofadhili machafuko hayo kuacha.