Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Ni swala la aibu kubwa kwa taifa letu, wananchi wanapouwawa na matokeo yake kuitwa wahuni na majambazi. Serikali ya CCM imekuwa aibu tupu.Ijumaa , Spika wa Bunge la muungano la Tanzania Mh. Anna Makinda, alimzuia Mh. Tindu Lisu kuchangia mjadala kuhusu Barrick na North Mara. Najiuliza, hivi hii serikali ni ya nani, wawekezaji au watanzania?
Je Tutawavumilia hawa Chama Cha Mafisadi/ Magamba hadi lini??? Tumechoka nao, hali inazidi kuwa mbaya.... Kitendo cha polisi kuchukua miili ya wafiwa na kuyatupa ni ishara tosha kwamba Barrick ambao hawalipi kodi, na kutoa ajira kwa wageni kuliko wenyeji, inabidi waondoke nchini Tanzania. vinginevyo watanzania watajichukulia sheria mikononi mwao
Je Tutawavumilia hawa Chama Cha Mafisadi/ Magamba hadi lini??? Tumechoka nao, hali inazidi kuwa mbaya.... Kitendo cha polisi kuchukua miili ya wafiwa na kuyatupa ni ishara tosha kwamba Barrick ambao hawalipi kodi, na kutoa ajira kwa wageni kuliko wenyeji, inabidi waondoke nchini Tanzania. vinginevyo watanzania watajichukulia sheria mikononi mwao