masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Hata sisi au mimi mwana CCM kwa kiasi fulani, nimekerwa na jaribio hili la kumuua Tundu Lissu.
Mtu mwenye mikono ya damu haui mtu mmoja, itakuwa tabia.
Visasi vikiingia, Burundi itakuwa cha mtoto.
Mtu mwenye mikono ya damu haui mtu mmoja, itakuwa tabia.
Visasi vikiingia, Burundi itakuwa cha mtoto.