Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,580
- 217,962
Hali hii imefuta hata kile ambacho kingetufanya kuumiza vichwa kuwasaka wauaji wa Lissu .The government is running around like headless chicken.
Hali hii imefuta hata kile ambacho kingetufanya kuumiza vichwa kuwasaka wauaji wa Lissu .The government is running around like headless chicken.
Hakika yapo mapigo kumi zaidi ya yale kumi yaliompiga Farao yatakayo shuka juu ya Sizonje.MUNGU akaufanya Moyo wa Farao kuwa mgumu.
...in the Animal Farm..is running around like headless chicken.
Kwani viongozi wa ccm wanapopelekwa huko Apollo huwa natumia ghalama za chama au mfano spika ndungaiTumuache lissu auguze majeraha yake mungu yuko naye lakini ninyi wanachadema kutumia hali ya lisu kujijenga kisiasa mungu atawalaani.hivi chadema wanaopata m 300 Kwa mwezi wanahitaji michango hiyo?
Mkuu hii nimcheka mwenyewe!Kweli nilazima hapa kuna mtu halali usiku!Eti adui yako namba 1 ambaye unataka kila mtu amtenge na kumlaani,leo kila mtu anahimiza wakusanyike wamuobee wakati wewe hata wife wako hakuombei!Na Mungu akiamua kukuinua hakuna wa kumpinga!(Bob Marley alishasemaga "What Jah blessed no one......)Nadhani roho inamuuma sana maana Lisu hajawambia wamwombee watu kwa kujua umuhimu wa Lisu ndio maombi yanakuja automatic lakini wewe kila hatua naomba mniombee. na hakuna dalili ya wewe kuombewa lazima roho ikuume... kumbuka sala ya watu ina nguvu haswa.. Asante Mungu kwa kuisikia sala zetu. endelea kumponya Tundu Lisu kwa kweli na umefanya maajabu
sasa wewe hupendi wawe maarufuHayo yangefanyika mapema kwa nia nyingine ingekua haina shida ila kwa sasa hawa waçhangia damu walionitokeza wanalifanya kujipatia umaarufu wa kisiasa kupitia tukio la TL
Alisema msaliti hawezi kuachwa asavaiv!Wao ndio waliotaka kuumua Lissu ndio maana wamehamaki hawajui wafanye nini?
Amen!Japokuwa ana pata maumivu makali sana Mungu wa Rehema awe naye muda wote
Hawezi! Akili imekabidhiwa kwa mamlaka ya uteuzi!Sirro pita usome bandiko hili acha kuendeshwa uko...
Na habari hizo hazilo tena kana kwamba wametishwa!Watu siku hizi wanaangalia taarifa ya habari kupitia TV ili kuaikia habari zimhusuzo Lissu.
Inferiority complex!Tatizo Rais ni mbumbumbu wa siasa,hajui kabisa kucheza michezo ya siasa safi.yuko reactive badala ya kuwa proactive.Eidha ana washauri wabovu ama hashauriki.
AmenKwa jina la Yesu Kristu wa Nazareti nakuomba ukautawale uzima wa Lissu uzidi kumwongezea ujasiri zaidi. Amen
Watawala ndo wanaomjega TAML na upinzani kwa ujumla kisiasa kwa kuwa reactive badala ya proactive katika siasa za vyama vingi!Tumuache lissu auguze majeraha yake mungu yuko naye lakini ninyi wanachadema kutumia hali ya lisu kujijenga kisiasa mungu atawalaani.hivi chadema wanaopata m 300 Kwa mwezi wanahitaji michango hiyo?
Huo si ukweli na hata kama ni ukweli damu ikitolewa wanaofaidika ni akina nani. Au unafikiri yote inahitajika kumsaidia TAML!Hayo yangefanyika mapema kwa nia nyingine ingekua haina shida ila kwa sasa hawa waçhangia damu walionitokeza wanalifanya kujipatia umaarufu wa kisiasa kupitia tukio la TL