Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
You are very right!Yaani hata mimi nilijiuliza, hivi kwa mfano baada ya Dr. Mashinji kuagiza wanachadema wakatoe Damu, tuseme Polepole naye, au Kinana, angesimama na kusema kwa kweli kutoa Damu ni jambo jema sana, na tunawatia moyo wanaccm na watanzania wote wajitokeze kutoa Damu kwa ajili ya wagonjwa wetu, mbona tungepata Damu nyingi tu? Maana tukumbuke kwamba huwezi kutembeza mchango kwa ajili ya maafa ya tetemeko, kama hakuna tetemeko. limetokea janga, ni nafasi ya kuchangisha damu, fedha, nk. maana watu wanakuwa wameguswa na hilo tukio. tumepoteza fursa nzuri sana kwa ajili ya cheap politics