Wakati wanaingia marakani walikuja na kauli mbiu ya hapa kazi tu, na tukaji aminsha kuwa wachapa kazi wameingia, kumbe badala yake wamekuwa wachapa uchumi wa nchi yetu, aibu kubwa.
Akina polepole wamejaribu sana kutetea wizi huu ili usijulikane, matokeo yake wakajikuta wanakonda tu mwili wote umetokwa mishipa utadhani mizizi ya mmea fulani.
Hii awamu haita faninikiwa kwa lolote ,kwani wamejipatia laana wenyewe, kwa matukio ya hovyo kabisa ambayo wamewafanyia watoto wazalendo wa nchi yetu.
Usitegemee taifa kupata mafanikio huku ndo linakuwa la kwanza kuteka wananchi wake na kuwapoteza kabisa kama sio kuwauwa.
Ardhi imepokea DAMU zao na hivyo laana imeitafuna nchi.
Vilio vya ndugu zao vimefika mbinguni na Mungu amevipokea .
Kwa mtindo huu ,usitegemee kuona uchumi unakua , badala yake tutaona ukizidi kudidimia.
Viongozi wetu wa dini nao pia ni mfano wa yuda , wanaungana na serikali kila siku kuunga mkono mambo maovu, badala ya kusimamia ukweli na kuwaambia viongozi wetu watubu ili laana isiendelee kuitafuna nchi.
Hii ni aibu kwa viongozi wa dini kushindwa kuwa mawakili bora wa Mungu hapa nchini, na wala sina shaka kwa kusema kuwa kama kiongozi wa dini kweli anashindwa kukemea maovu, basi huyo anamtukia shetani na wala sio Mungu wa Mbinguni.
Wameshindwa kuutumia mfano wa Nabii Eliya aliye simama mbele ya mfalme Ahabu na kumkanya juu ya maovu yaliyo kuwa yakiendelea ktk taifa lao .
Itoshe tu kusema kuwa kuna baadhi ya viongozi wa dini ndani ya nchi yetu pia wameungana na serikali yetu kuwa Yuda Ikariyote.
Eeee Mungu muuba wa Mbinguni na ardhi tuna kusihi utuepushe na balaa hili katika awamu hii ya tano, Amina.
Akina polepole wamejaribu sana kutetea wizi huu ili usijulikane, matokeo yake wakajikuta wanakonda tu mwili wote umetokwa mishipa utadhani mizizi ya mmea fulani.
Hii awamu haita faninikiwa kwa lolote ,kwani wamejipatia laana wenyewe, kwa matukio ya hovyo kabisa ambayo wamewafanyia watoto wazalendo wa nchi yetu.
Usitegemee taifa kupata mafanikio huku ndo linakuwa la kwanza kuteka wananchi wake na kuwapoteza kabisa kama sio kuwauwa.
Ardhi imepokea DAMU zao na hivyo laana imeitafuna nchi.
Vilio vya ndugu zao vimefika mbinguni na Mungu amevipokea .
Kwa mtindo huu ,usitegemee kuona uchumi unakua , badala yake tutaona ukizidi kudidimia.
Viongozi wetu wa dini nao pia ni mfano wa yuda , wanaungana na serikali kila siku kuunga mkono mambo maovu, badala ya kusimamia ukweli na kuwaambia viongozi wetu watubu ili laana isiendelee kuitafuna nchi.
Hii ni aibu kwa viongozi wa dini kushindwa kuwa mawakili bora wa Mungu hapa nchini, na wala sina shaka kwa kusema kuwa kama kiongozi wa dini kweli anashindwa kukemea maovu, basi huyo anamtukia shetani na wala sio Mungu wa Mbinguni.
Wameshindwa kuutumia mfano wa Nabii Eliya aliye simama mbele ya mfalme Ahabu na kumkanya juu ya maovu yaliyo kuwa yakiendelea ktk taifa lao .
Itoshe tu kusema kuwa kuna baadhi ya viongozi wa dini ndani ya nchi yetu pia wameungana na serikali yetu kuwa Yuda Ikariyote.
Eeee Mungu muuba wa Mbinguni na ardhi tuna kusihi utuepushe na balaa hili katika awamu hii ya tano, Amina.