beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema waliopata Chanjo dhidi ya Ugonjwa wa COVID19 tangu zoezi hilo kuanza kote Nchini hadi sasa ni zaidi ya 325,000
Amesema, "Chanjo ni hiari, lakini Wataalamu wanatuambia usipopata Chanjo ukapata Ugonjwa, utapata madhara makubwa ndani ya mwili wako"
Amesema Serikali inaendelea kuhimiza watu hususan walio katika makundi hatari wakiwemo wenye Magonjwa sugu na wanaofanya kazi kwenye maeneo ya yanayowakutanisha na watu wengi kupata Chanjo
Amesema, "Chanjo ni hiari, lakini Wataalamu wanatuambia usipopata Chanjo ukapata Ugonjwa, utapata madhara makubwa ndani ya mwili wako"
Amesema Serikali inaendelea kuhimiza watu hususan walio katika makundi hatari wakiwemo wenye Magonjwa sugu na wanaofanya kazi kwenye maeneo ya yanayowakutanisha na watu wengi kupata Chanjo