Serikali tunaomba muifuatilie hii michezo ya hela, Biko, Tatumzuka na mingine inazidi kuja

ruukada

Member
Feb 24, 2014
67
117
Hii michezo inawaumiza wananchi , tena sanasana walio kuwa masikini , badala ya kutumia kidogo walichonacho kwa shughuli za maendelea au kuweka akiba , wanatumia katika hii michezo ambayo ina ulakini,

Ili hii michezo iwe inaleta tija, lazima kuwe kuna uwiano kati ya wanachoingiza na wanachorudisha kwa wananchi, bila hivyo itakuwa inaumiza wananchi pamoja na uchumi kwa ujumla.

maoni yenu wadau!!!
 
Wanaoamini waache wacheze mkuu wasioamini wasicheze.... Ni michezo ya kubahatisha
 
Hii michezo inawaumiza wananchi , tena sanasana walio kuwa masikini , badala ya kutumia kidogo walichonacho kwa shughuli za maendelea au kuweka akiba , wanatumia katika hii michezo ambayo ina ulakini,

Ili hii michezo iwe inaleta tija, lazima kuwe kuna uwiano kati ya wanachoingiza na wanachorudisha kwa wananchi, bila hivyo itakuwa inaumiza wananchi pamoja na uchumi kwa ujumla.

maoni yenu wadau!!!
Hujui kama ipo kisheria na kuna board yake kabisa.
Inalipa kodi na wananchi wanaicheza wenyewe kwa mapenzi yao wenyewe.
 
Hii michezo inawaumiza wananchi , tena sanasana walio kuwa masikini , badala ya kutumia kidogo walichonacho kwa shughuli za maendelea au kuweka akiba , wanatumia katika hii michezo ambayo ina ulakini,

Ili hii michezo iwe inaleta tija, lazima kuwe kuna uwiano kati ya wanachoingiza na wanachorudisha kwa wananchi, bila hivyo itakuwa inaumiza wananchi pamoja na uchumi kwa ujumla.

maoni yenu wadau!!!

Wanakubalika sana na huko unakowashtakia kwakuwa ni walipaji Kodi wazuri mno tena kwa wakati na mara nyingine huwa wanawahi kutoa.
 
Hawa BIKO wameanza kubetisha sasa hivi nafikiri walitumia huu mchezo wao kwanza kama sehemu ya kukuza mtaji na pili kama sehemu ya kusoma soko la kamari. Wamejitahidi sana kukamata wajinga hakika wamefanikiwa
 
Wanalipia kodi
Watu awalazimishwi kuicheza
Hakuna shida
Nchi ya viwonder
 
Back
Top Bottom