johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,995
Huwezi kamata mali isiyo ya mtu. Hapo anadaiwa serikali. Mtu kaenda fungua kesi kapewa ndege.Hii ni ndege ya serikali, ATCL wamekodisha kama wanawadai ATCL waje huku kuna viwanja vyao na gereji zao! kwa sauti ya Kabudi!
===================
Mawakili wa Serikali 15 wakiongozwa na Wakili Mkuu wa Serikali, Dk. Clement Mashamba wamewasilisha pingamizi katika Mahakama Kuu kupinga maombi ya aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kuhusu Ubunge wake.
====================
Madeni Madeni
Duh kazi ipo. Ile inayoenda India iwe makini watu wanailia timing
Vizazi vijavyo vitatuona tulikua malofa sana aisee .....