Wapendwa watanzania wenzangu, Nimeshuudia kwa takriban miaka miaka saba sasa Tangu Benjamini William Mkapa akabidhi nchi kwa JK, Hali ya mwana nchi mpiga kura inaendelea kudorora na hatua madhubuti azichukuliwi kumsaidia. Ninachoshuudia ni matajiri na wezi wa uchumi wa nchi ya wananchi watanzania wakiendelea kunona na kujimilikisha .
Maendeleao yanaporomoka na pata la taifa linashuka. Hotuba za rais ni tamu , na utekelezaji 0%.
Tupo katika jumuiya ya afrika mashariki, lakini kwa ufupi sisi ndio waathirika wakubwa wa bei ya bidhaa za petrol. Burundi na Rwanda hawanda bandari lakini mafuta ni rais kuliko Dar.
Kwa sasa Kenya nchi imeamua kupunguza bei ya mafuta ili kuwezesha raia na wawekezaji kupunguza makali ya operational costs (Source :Daily Nation:*- Business News*|Respite for consumers as Govt cuts fuel tax)
Je serikali yetu inawazo gani la kuwawezesha raia wake ili tuweze kuwa na sura sawa za ushindani katika africa ya mashariki?
Nawakilisha mada.
Maendeleao yanaporomoka na pata la taifa linashuka. Hotuba za rais ni tamu , na utekelezaji 0%.
Tupo katika jumuiya ya afrika mashariki, lakini kwa ufupi sisi ndio waathirika wakubwa wa bei ya bidhaa za petrol. Burundi na Rwanda hawanda bandari lakini mafuta ni rais kuliko Dar.
Kwa sasa Kenya nchi imeamua kupunguza bei ya mafuta ili kuwezesha raia na wawekezaji kupunguza makali ya operational costs (Source :Daily Nation:*- Business News*|Respite for consumers as Govt cuts fuel tax)
Je serikali yetu inawazo gani la kuwawezesha raia wake ili tuweze kuwa na sura sawa za ushindani katika africa ya mashariki?
Nawakilisha mada.