Serikali: Stiegler's Gorge ipo katika ilani ya CCM

Basi naomba niseme hivi Nape alitoa mpaka nukuu ya kurasa. Kuna tatizo gani kwa waziri kufanya hivi ili hoja yaje iwe valid
Ngoja niache ubishi kilinge kinanisubiri
Nukuu gani ya kurasa mkuu? Kwani alichojibu ujakielewa hadi aje na makaratasi? Jitahidi utafute kuna kitabu kizima cha ilani kipo humu soma hata uyo Nape anakijua ndio maana kanyamaza kimya.
 
Hakuna andiko ndani ya ccm linataka mradi wa Striglers HAKUNA HAKUNA HAKUNA, kama ilivyo kuhamia dodoma na elimu bure
Jina Moja tu la kukuita wewe ni Bwege
Hujui na hujaisoma ilani

Ilani imetaja umeme Wa gas , Maji (hydro) ,makaa ya mawe na Renewable energy

Je tuambie hiyo gas anayotaja Nape imeandikwa kwa mapana yap? Huo Wa Maji wameandika kwa mapana yapi ?

Sasa Mimi nakusaidia ,ili upuuzi na wenzio uwatoke kichwani

IMG-20180410-WA0234.jpeg
IMG-20180410-WA0235.jpeg


Haya soma hizo na wenzako ujinga uwatoke
 
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nishati na umeme, Dr. Medard Kalemani wakati akijibu hoja za Nape Nnauye na kusema, ilani ya CCM imetaja miradi itakayoendelezwa ni pamoja na maji, gesi, upepo na makaa ya mawe, ilani haijataja mradi mmoja mmoja.
Tujikumbushe hii hapo zamani kidogo:

Sheikh Yahya alitabiri kuwa baada ya rais Mkapa basi Tanzania itaongozwa na rais mwanamke, na baada ya uchaguzi rais akawa Kikwete akaulizwa tena vipi mtaalam ulisema rais angekuwa mwanamke na sasa ni mwanamme

Sheikh Yahya: Sio lazima awe mwanamke ila kitafsiri anaweza kuwa na character flan inayoshabihiana na wanawake, mf huyu rais wetu (JK) anapendwa sana na wanawake!

Naona ccm wanajaribu kujidefend kama mnajimu alivyofanya hapo juu
 
Hata suala la Katiba Mpya halikuwahi kuandikwa kwenye Ilani yoyote ya CCM. Halimo kwenye Ilani ya 2010 wala ile ya 2015. Kwahiyo tunapopinga jambo moja (kama Stiggler) tuwe tunafikiria na impact yake kwa mambo mengine pia.
Baadhi ya watu wakiambiwa si wazalendo sio kwamba wanachukiwa lah hasha. Isipokuwa jambo kama hili kweli la kubeza kweli
 
Hivi huyu waziri na Nape nani anaijua Ccm?Nape ameshiriki kuiandika hiyo ilani ,Kwa hiyo alichokisema Nape yuko sahihi
 
Jina Moja tu la kukuita wewe ni Bwege
Hujui na hujaisoma ilani

Ilani imetaja umeme Wa gas , Maji (hydro) ,makaa ya mawe na Renewable energy

Je tuambie hiyo gas anayotaja Nape imeandikwa kwa mapana yap? Huo Wa Maji wameandika kwa mapana yapi ?

Sasa Mimi nakusaidia ,ili upuuzi na wenzio uwatoke kichwani

View attachment 740950View attachment 740952

Haya soma hizo na wenzako ujinga uwatoke
MODS ingependeza bandiko hili mlipandishe kule juu kabisa kwa mleta hoja, litolewe huku machoni, ili wote walione kabla ya kuchangia.
 
Waziri akijibu sindio Serikali? Sasa serikali imetikisika vip?
hapo mm sijaona serikali ilipotikisika ila nape ndoo anazidi kutikisika hajaelewa maana ya serikali ya viwanda kuwa lazima kuwepo umeme wa uhakika ndiyo maana mkuu wake aluzunguka nchi nzima akinadi ilani yake kuwa ni tanzania ya viwanda, sasa sidhani kama bila huo umeme wa uhakika kunaweza kuwepo viwanda na hiyo gesi anayoisemea haiwezi kutosha nchi nzima kulingana na mahitaji asiisemee lindi na mtwara tu hata kigoma hakuna umeme wa uhakika grid ya taifa bado haijafika huko kila kitu ni mipango na mikakati sera ya viwanda ni kubwa,kijana mwenye kiburi na dharau kwa viongozi wake anayejitanabaisha kuwa chama amekitoa shimoni
 
Back
Top Bottom