Hakuna andiko ndani ya ccm linataka mradi wa Striglers HAKUNA HAKUNA HAKUNA, kama ilivyo kuhamia dodoma na elimu bureIsikurupuke kumjibu Nape kwa majibu ya jumla ije na maandiko kama alivyofanya yeye.... Serikali ya ccm inatikiswa na watu wepesi mno
Miradi na sio miladiHayo yamesemwa na waziri wa nishati na umeme wakati akijibu hoja za Nape Nnauye na kusema,ilani ya ccm imetaja miladi itakayoendelezwa ni pamoja na maji,gesi,upepo na makaa ya mawe,ilani haijataja mladi mmojammoja
Waziri akijibu sindio Serikali? Sasa serikali imetikisika vip?Isikurupuke kumjibu Nape kwa majibu ya jumla ije na maandiko kama alivyofanya yeye.... Serikali ya ccm inatikiswa na watu wepesi mno
Isikurupuke kumjibu Nape kwa majibu ya jumla ije na maandiko kama alivyofanya yeye.... Serikali ya ccm inatikiswa na watu wepesi mno
Majibu yasiwe ya mdomo basiWaziri akijibu sindio Serikali? Sasa serikali imetikisika vip?
Vipi miundo inayojengwa ya Barabara walitaja barabara moja moja??au uboreshaji wa miundo mbinu kama ilivyo uboreshaji wa upatikanaji umeme??Hakuna andiko ndani ya ccm linataka mradi wa Striglers HAKUNA HAKUNA HAKUNA, kama ilivyo kuhamia dodoma na elimu bure
Propaganda as usualHayo yamesemwa na waziri wa nishati na umeme wakati akijibu hoja za Nape Nnauye na kusema,ilani ya ccm imetaja miladi itakayoendelezwa ni pamoja na maji,gesi,upepo na makaa ya mawe,ilani haijataja mladi mmojammoja
Wanapingana na maendeleo hao wataka madaraka..vipi wanapotakaga rais asafiri? kwenye ilani ya ccm alisema atakuwa anasafiri kwenda Nje?Mambo mengi tu hayakutajwa ndani ya ilani,ikiwemo ujenzi wa kiwanja cha mpira dodoma,ujenzi wa ikulu dodoma,ukuta mererani nk,hivyo sioni hoja ya kupingana na serikali
Viva Nape NnauyeNape yuko sahihi
Basi naomba niseme hivi Nape alitoa mpaka nukuu ya kurasa. Kuna tatizo gani kwa waziri kufanya hivi ili hoja yaje iwe validbrother,kumbe na wewe mbishi hivi?
Hayo yamesemwa na waziri wa nishati na umeme wakati akijibu hoja za Nape Nnauye na kusema,ilani ya ccm imetaja miladi itakayoendelezwa ni pamoja na maji,gesi,upepo na makaa ya mawe,ilani haijataja mladi mmojammoja