Kuumbeeeeti nasikia ilani ya sisiem ilitengenezwa na wapenzi wa ulipo tupo ndiyo maana imetupwa waliokalia mkeka wanatekaleza yao.
Ilani tupa kuleWaziri wangu usikurupuke, nakuhakikishia halipo kabisa!
Mkuu elimu yako ikoje?Wanapingana na maendeleo hao wataka madaraka..vipi wanapotakaga rais asafiri? kwenye ilani ya ccm alisema atakuwa anasafiri kwenda Nje?
Miladi = MiradiHayo yamesemwa na waziri wa nishati na umeme wakati akijibu hoja za Nape Nnauye na kusema,ilani ya ccm imetaja miladi itakayoendelezwa ni pamoja na maji,gesi,upepo na makaa ya mawe,ilani haijataja mladi mmojammoja
Ahsante sana COLE!
Watu wepesi wanaotumika. Jifunze kutafakari kwa Jicho la Nne.Isikurupuke kumjibu Nape kwa majibu ya jumla ije na maandiko kama alivyofanya yeye.... Serikali ya ccm inatikiswa na watu wepesi mno
Angalie/soma post namba 27, hlf upingane nayo pia..Basi naomba niseme hivi Nape alitoa mpaka nukuu ya kurasa. Kuna tatizo gani kwa waziri kufanya hivi ili hoja yaje iwe valid
Ngoja niache ubishi kilinge kinanisubiri
Isikurupuke kumjibu Nape kwa majibu ya jumla ije na maandiko kama alivyofanya yeye.... Serikali ya ccm inatikiswa na watu wepesi mno
Kama namuona Nape akiweweseka na n mtu ambaye daily anakuja na hoja nyepes nyepes Ambazo hata mtoto wa darasa la tatu anaweza kumjib tena bila wasi...
we kalia porojo tu. hoja za nape zimeeleweka vizuri tu. ccm mtaipoteza kabisa ushawishi Lindi na mtwara,Ahsante sana COLE!
Nape anachotaka ni kila mradi utajwe kwenye ilani ya uchaguzi na siyo maudhui ya jumla!
Aidha, wenye kumuunga mkono, kama ilivyo kwetu Watanzania wengi kuwa wavivu wa kusoma na kutafakari maandiko / machapisho / makala, wanakosa hoja za kitafakuri kutokana na uvivu wa kurejelea ilani yenyewe wanatoa maoni yasiyo na mashiko na badala yake wanabaki kupiga blaa blaa!
Ulimuona anavyochangia? Maandiko gani? Jamaa nakuamini ila hapa umepotoka mkuu.Isikurupuke kumjibu Nape kwa majibu ya jumla ije na maandiko kama alivyofanya yeye.... Serikali ya ccm inatikiswa na watu wepesi mno