Serikali ndio Kinara Mkubwa wa Kuingiza Simu Fake

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,298
Ndugu Wanajanvi husika na Kichwa cha habari hapo juu, ni kuwa baada ya TCRA kututangazia kuwa watazima simu zote ambazo ni bandia ifikapo saa sita usiku tarehe 16 kuamkia tarehe 17 June, nimeamini kuwa serikali ndio vinara wakubwa waliongiza simu feki na ushahidi nilionao ni simu zao zile za mezani HUAWEI ambazo walituuzia ambapo leo asubuhi ya kwangu imezima.
 

Attachments

  • IMG_20160617_100850.jpg
    IMG_20160617_100850.jpg
    157.3 KB · Views: 139
Mrudishie aliekuuzia simu feki na risiti yako, akurejeshee pesa. Akikataa peleka mahakamani akulipe na usumbufu wa kisaikolojia hapo unaweza kudai hata million 10
 
Nawasiliana na wakili wangu anipe ushauri kwakuwa wao TTCL ndio walioniuzia na risiti ninayo
 
Back
Top Bottom