5997
JF-Expert Member
- Jan 19, 2019
- 514
- 1,204
Mpaka mda huu namaliza kuandika nimetoka kuweka mkeka wa elfu ishirini na mbili.
Tangu nimeanza kucheza hii michezo nimeishakula elfu kumi na tatu tu lakini mimi nimeishacheza zaidi ya laki mbili na themanini,
Jamani vijana tunaangamia maisha yenyewe ndo haya ya kudunduliza.
Nimejitahidi kuacha betting ila nashindwa
Ee serikali ingilia kati
Ngoja nijiandae kucheza jackpot
Tangu nimeanza kucheza hii michezo nimeishakula elfu kumi na tatu tu lakini mimi nimeishacheza zaidi ya laki mbili na themanini,
Jamani vijana tunaangamia maisha yenyewe ndo haya ya kudunduliza.
Nimejitahidi kuacha betting ila nashindwa
Ee serikali ingilia kati
Ngoja nijiandae kucheza jackpot