Usalama wako kwanza ni muhimu,nina imani watu wapo humu wa afya na usalama.Lakini haihitaji kwenda shule kujua usalama ninini.Ajali imetokea,keep distance as far as your legs can take you,hasa kwa mafuta.Hii sio mara ya kwanza kutokea na kuelimishaa pamoja na kukatazwa kusogelea lori la mafuta.Ilitokea singida maybe you were in Germany with Adolf Hitler or in Italy with Benito Mussolini.It happened and people died.We learnt from that.Kwa nini ijirudie.Ni bora askari wetu hawakuenda kufukuzana na hawa wasiosikia,tungewapoteza au idadi ingekuewa kubwa zaidi!Wale wakina mama wanachota ya kazi gani?Nimewahi kushuhudia pale Karume gari la mafuta limetokea huku upande wa kigogo round about,limepaki kusubiri mataa ya ruhusu hamad vijana wawili wakaenda na mifuko ya nylon wakafungua koki wakawa wanataka kuchota mafuta.Lucky enough hayakuwemo?Can you imagine karume palivyo jioni,mtu apite na sigara karibu na yule anayechota.Kuna wauza mahindi pale wana majiko ya mkaa,Dereva alikuwa amepaki anasubiri mataa yamruhusu he had nothing to do.Do you think wale vijana hata kwa maafa haya ya leo wataacha?Sisi hatujali uslama wetu.Wakikamatwa wakipelekwa mahakamani utasema wameonewa!