Mtyela Kasanda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 554
- 819
- Thread starter
- #21
mtoto mwingine mahututiRIP....inawezekana kabisa alipelekwa hapo na mzazi wake wakati anaenda KUIBA MAFUTA
mtoto mwingine mahututiRIP....inawezekana kabisa alipelekwa hapo na mzazi wake wakati anaenda KUIBA MAFUTA
Tunaomba namba zako za simu tukurushie kwa Mpesahapa panatosha
Let me agree to disagree!Hongera kwa kunizdi akili na kudai fidia!Najua unachotaka uzi uwe na wachangiaji wengi.I stop here!WEWE NIMEKUZIDI AKILI
Sikujua kama mjadala huu una maana na kwenye red hapo naona hoja ya msingi. Lakini tukubaliane kuwa pamoja na wazazi, mwenye jukumu la kuondoa ujinga ni serikali.This is stupidity of the highest order!Walioteketea na moto familia zao zishitakiwe kwa kusababisha mauaji kwa kuwa na watoto wajinga wasiosikia ya wazazi wao pamoja na Serikali.
SAWA, wajibu wa polisi inapotokea ajali ni upi? Polisi wanakwepaje uwajibikaji kama hawakuwajibika sawasawa baada ya ajali kutokea?We mjinga sana. Yaani hao walioenda kuiba mafuta hawajui kama mafuta ni hatari, hawajui kama sheria za nchi mtu hatakiwi kuiba. Waafrika matatizo yao ndio hayo, ukiwaambia jwa ndomo hawaelewi mpaka uwafuatilie kama watoto wadogo
haya baada ya kufika hapa leme school you, ukikubali kutofautina maana yake either of us can be right we just don't know who yet, so Mimi nawewe tunatofautiana. Na binadamu wengine wapo hivi hivi, wapo ambao wana matatizo na matatizo yao yakasababisha madhara kwa wengine, sasa inapotokea mahali kuna wakuwajibika, ni lazima awajibike ili kuepusha binadamu wanaotofautiana kuleteana madhara. I am not even sure how jamiiforums works, views&replies are the least of my worries. Just here to express my opinions freely.Let me agree to disagree!Hongera kwa kunizdi akili na kudai fidia!Najua unachotaka uzi uwe na wachangiaji wengi.I stop here!
Mkutano unaweza ukajulikana hata mwezi mmoja kabla but ajali ni kitu kingine kabisaaaa....muwe na muda wa kutafakari kabla ya kuzungumza, we jitu linaenda mpaka na kichupa cha mo energy eti kuchota mafuta halafu moto unatokea unaanza kuilaumu serikali.NI KWELI MKUU, HAO POLICE INGEKUA NI MIKUTANO YA CHADEMA WANGEFANYA KAZI YA KUTAWANYA WATU WITHIN FIVE MINUTES, ILA KWENYE MOTO HATUWAONI MSONYOOOO ...SERIKALI ILIPE FIDIA KWELI!!!
Ww jamaa ni mjinga sana....polisi walikua wapi baada ya ajali kutokea? Ni wajibu wa polisi kwenda eneo la ajali, au wewe unaishi ambako hakuna vyombo vya moto?
I am " or something "Ww jamaa ni mjinga sana....
polisi kila siku wanazuia wevi....
leo hii wawape fidia wevi....
are you mad or something!!!?
Ungekuwa mkutano wa upinzani au maandamano polisi wangepatikana wa kutosha. Hakuna namna wawajibike kwakweli.Hili halina mjadala. Polisi wanajikimu kupitia kodi zetu na kazi yao ni kuhakikisha usalama wetu. Kawaida ikitokea ajali askari wanatakiwa kuwahi kufika eneo la tukio na kufuata taratibu za kiusalama. Kama ajali imetokea, watu wamechomoa betri ya gari, watu wanakunywa mafuta askari haonekani kwenye barabara kuu, serikali iwajibike. Mungu aepushie mbali inawezekana kuna mtu alikua hana hata mpango na mafuta na amelipukiwa na moto. TUNAKUAJE NA ASKARI WACHACHE KWENYE NCHI AMBAYO MASLAHI YA ASKARI NI KIDOGO? TUNAKUAJE NA ASKARI WASIOFIKA MAHALA HUSIKA KWA KUKOSA USAFIRI KWENYE NCHI AMBAYO TUNAJENGA SGR? Mimi ni mwana-CCM na damu hii ni ya uzembe wa serikali inayojitanabaisha kwa utendaji. Ajali imetokea sawa, ila ajali imetokea halafu baada ya dk10+ ndo imeua watu kwenye barabara kuu, lipeni tu fidia hapo aisee. Tena fidia ya maana.
This is stupidity of the highest order!Walioteketea na moto familia zao zishitakiwe kwa kusababisha mauaji kwa kuwa na watoto wajinga wasiosikia ya wazazi wao pamoja na Serikali.
* BILL GATESRubbish Thread of the year.....
Mlitumwa mkachote yale mafuta?
Mkutano unaweza ukajulikana hata mwezi mmoja kabla but ajali ni kitu kingine kabisaaaa....muwe na muda wa kutafakari kabla ya kuzungumza, we jitu linaenda mpaka na kichupa cha mo energy eti kuchota mafuta halafu moto unatokea unaanza kuilaumu serikali.
Nna wasiwasi kuna siku hata mwanao atagoma kwenda shule utailaumu serikali...........
tunailaumu kuchelewa kufika kwenye tukioView attachment 1177701
Kwahali hii bado tunailaumu serikali?