Serikali na shule za kata

The hammer

JF-Expert Member
May 17, 2011
2,380
1,758
Serikali imejenga shule nyingi sana za sekondari kuanzia mwanzon mwa miaka ya 2000.Lengo la Serikali yetu lilikuwa zuri la kuwapatia elimu ya sec.vijana wetu.

Ila kitu ambacho Serikali haijakiona ni kuwa itajenga utitiri wa wa shule zisizo na ubora hadi lini? Nafikiri ingekuwa vyema serikali isitshe ujenzi huu wa shule mpya then iegemee ktk kuziboresha zilizopo kwa maan ya kuzipanua zaidi,kuziwekea vifaa vya kujifunzia na kufundishia na walim wandaliwe wa kutosha ili watoto wasiishie kusema wamefika secondary bali jamii iwaone kweli wamefikia ELIMU HIYO,kwani shule ni nyingi lakini karibu robo yake form 1 na 2 inawachukua dakika 2 kundika sentens nzima.

Ifikie mahali serikal isitishe zoezi hili ili iende kwny zoezi jingine ambalo litaboresha elimu ya sekondary otherwise hakuna tunalolifanya mana hata wenye vipaji vyao vya AKILI VINAPOTELEA KWENYE SHULE ZA KATA.....


  • A%20S%20465.gif

 
Serikali imejenga shule nyingi sana za sekondari kuanzia mwanzon mwa miaka ya 2000.Lengo la Serikali yetu lilikuwa zuri la kuwapatia elimu ya sec.vijana wetu.

Ila kitu ambacho Serikali haijakiona ni kuwa itajenga utitiri wa wa shule zisizo na ubora hadi lini? Nafikiri ingekuwa vyema serikali isitshe ujenzi huu wa shule mpya then iegemee ktk kuziboresha zilizopo kwa maan ya kuzipanua zaidi,kuziwekea vifaa vya kujifunzia na kufundishia na walim wandaliwe wa kutosha ili watoto wasiishie kusema wamefika secondary bali jamii iwaone kweli wamefikia ELIMU HIYO,kwani shule ni nyingi lakini karibu robo yake form 1 na 2 inawachukua dakika 2 kundika sentens nzima.

Ifikie mahali serikal isitishe zoezi hili ili iende kwny zoezi jingine ambalo litaboresha elimu ya sekondary otherwise hakuna tunalolifanya mana hata wenye vipaji vyao vya AKILI VINAPOTELEA KWENYE SHULE ZA KATA.....


  • A%20S%20465.gif

Nani alikwambia kuwa lengo la wanasiasa lilikuwa kuwapa elimu watotot wa wakulima. Ilikuwa kuwaghiribu hawa ngumbaru wazee wetu wawape kura. Wamefanikiwa!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom