Serikali mnawanyonga Walimu!


ndugu ccm ile ya mwalimu Nyerere ilikwisha kufa! Ukubali ukatae poa! Chama kimebaki na majambazi huo ndiyo ukweli; na mara nyingi mfumo wowote duniani unapokaa muda mrefu ufanisi na makusudi ya huo mfumo hutoweka polepole kwa maana ya kwamba, wanaanza kuingia na watu wabaya na kuharibu malengo yote!

Hivyo basi! Niushauri wangu kwako na wote wanaopitia bandiko langu; kuamini kwamba! Ni lazima kubadili chama kingine cha siasa ili kichukue dola na kukipima kama tunavyowapima viongozi wa sasa na mwalimu Nyerere wanaonekana kupwaya na Nyerere anawafunika.

Tuwape UKAWA nafasi hii wainusuru nchi ndugu nchi imeuzwa na wahuni wachache haiwezekani tukae kimya even for Chadema let it be!
 

Jamani! Pesa zote zilizoteketea BMK zingetumika kujenga maabara tungeisifu sana ccm lakini pesa zimetumika kupitisha katiba feki ya chama cha magamba! Say no! Haiwezekani walimu wao ndiyo waishi maisha ya kuunga unga haiwezekani! Huu ni ubabaishaji wa ccm na msipofanya maamuzi mtakatwa kweli! Serikali mmechoka wapisheni UKAWA waendeshe nchi tumewachoka mafisadi wakubwa nyie!
 

Ndugu! Nakushukuru sana kuchangia vizuri kwenye bandiko langu hakika dalili zinaonesha walimu wananyanyaswa na wajiandae kukemea manyanyaso kwenye chaguzi mbalimbali kwa kuikataa ccm!
 
mkuu halmashauri ndizo zinafanya upuuzi huo, na kama utachunguza ni hapo kwenu tu

na kama makada wangegundua wangefukuza wakurugenzi hao wanaokata mishahara ya watu. ni wizi na uporaji
 
Mama yangu anamiaka 75 wanamfuta atoe 12000 ya maabara ,nimemwambia asitoe ,na wakija kukudai waambie mm ndo nimekukataza .
 
Hawa ccm hawana huruma wanakula mpaka jasho la wasiojiweza wamelaaniwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…