Inasikitisha Sana kuona wimbi kubwa la vijana wanasaidia fundi, wengine mama ntilie wengine madereva boda boda, bajaji hivi ndo zao ndo kusema zimeshafifia? Mimi mmoja wapo Lakin nipo private institution at least napata cent japo kabla ya hapa nimesota mtaani mwaka 1 karibuni tujadili labda Serikali itaoa mwongozo maana wapo humu