MWananyati
Senior Member
- Feb 3, 2011
- 160
- 53
Ama kweli sasa ndo utajua kama tumeshauzwa na kuwa serikali yetu inamilikiwa na watu ambao inawaita 'wawekezaji'. Jamaa hawa wamefikia hatua hata ya kuitusi na kuitishia hadharani Serikali kwa sababu ya nguvu waliyonayo (wanapata wapi hio nguvu??). Nyerere alikua akiwatimua watu kama hawa ndani ya masaa 24, lakini serikali ya saiv inagombezwa na ipo kimyaaaa, au kwa kuwa tunaenda kuomba misaada kwao then wanakwambia utaombaje msaada wakati kuna watu wamehifadhi ma-trilioni ya kifisadi benki za nje?
Hebu angalieni hapa: Source Tanzania daima 6/8
[TD="bgcolor: #ffffff"]
[/TD]
[TD="width: 140, bgcolor: #ffffff"][/TD]
Hebu angalieni hapa: Source Tanzania daima 6/8
|
[TD="bgcolor: #ffffff"]
Engen imeidhalilisha serikali kuipa saa 24 |
[TD="width: 140, bgcolor: #ffffff"][/TD]