thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Kuna mjadala kwa sasa unaendelea kuhusu serikali kugoma kuruhusu kuchapisha taarifa za majadiliano ya kiuchumi yaliofanyika, baina ya serikali na wadau wa IMF takwimu zinaozoonyesha uchumi wa Tanzania kukua kwa 4% badala ya 7% ilotarajiwa.
sababu zimeelezwa katika tafiti
Mjadala huu ningependa uwe wenye tija ,kwa maana ya kulisaidia taifa,dhidi ya kitu kinachoitwa vita vya kiuchumi,
Sina uzoefu sana na masuala ya kiuchumi,ila naamini wachumi wabobezi wazalendo wa kitanzania kwani nia ya dhati kabisa watatueleza kama ni kweli,
kwa nini serikali imegoma kuruhusu kutolewa tafiti hizo,kuna faida zipi na hasara ipi kwa kuzitoa au kutozitoa.
Pia ningependa kufahamu historia ya IMF ,
1,kuanzishwa kwake
2,kusudio la kuanzishwa kwake
3,Malengo ya kuanzishwa kwake
4,uaminifu wa taarifa zake kwa wanachama,especially nchi zinazoinukia kiuchumi
5,kilicho nyuma ya pazia kuhusu shirika hili ambacho hatukielewi,ispokua wachumi wabobezi mnakielewa.
6,chombo hiki cha kimataifa hakiwezi tumika kama siraha kwa baadhi ya mataifa yasiokubaliana na baadhi ya sera?
7,kama nchi, inajinasuaje na hali hii?.maswali ni mengi lakini naamini wachumi wabobezi wazalendo wasio na mlengo wowote wanaweza kutusaidia kujifunza kupitia uzi huu.
sababu zimeelezwa katika tafiti
Mjadala huu ningependa uwe wenye tija ,kwa maana ya kulisaidia taifa,dhidi ya kitu kinachoitwa vita vya kiuchumi,
Sina uzoefu sana na masuala ya kiuchumi,ila naamini wachumi wabobezi wazalendo wa kitanzania kwani nia ya dhati kabisa watatueleza kama ni kweli,
kwa nini serikali imegoma kuruhusu kutolewa tafiti hizo,kuna faida zipi na hasara ipi kwa kuzitoa au kutozitoa.
Pia ningependa kufahamu historia ya IMF ,
1,kuanzishwa kwake
2,kusudio la kuanzishwa kwake
3,Malengo ya kuanzishwa kwake
4,uaminifu wa taarifa zake kwa wanachama,especially nchi zinazoinukia kiuchumi
5,kilicho nyuma ya pazia kuhusu shirika hili ambacho hatukielewi,ispokua wachumi wabobezi mnakielewa.
6,chombo hiki cha kimataifa hakiwezi tumika kama siraha kwa baadhi ya mataifa yasiokubaliana na baadhi ya sera?
7,kama nchi, inajinasuaje na hali hii?.maswali ni mengi lakini naamini wachumi wabobezi wazalendo wasio na mlengo wowote wanaweza kutusaidia kujifunza kupitia uzi huu.