MIMI BABA YENU
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 295
- 679
Tarehe 14/03/2019 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atazindua Soko la Madini ya Dhahabu Mkoani Geita, uzinduzi huo utafanyika katika Soko Kuu la Mjini Geita kuanzia majira ya saa mbili asubuhi.
Kwani walikwambia hawana pa kuuzia?ni fursa nzuri kwa wachimbaji wa madini hususani wale wenye mitaji midogo kupata soko la uhakika
Kwani wanshida na soko?HONGERA SERIKALI YA AWAMU YA TANO...........HII ITAWASAIDIA WACHIMBAJI WADOGOWADOGO
Wamejenga jengo au wamekodi chumba?. Kamilisha habari yako vizuriTarehe 14/03/2019 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atazindua Soko la Madini ya Dhahabu Mkoani Geita, uzinduzi huo utafanyika katika Soko Kuu la Mjini Geita kuanzia majira ya saa mbili asubuhi.
Waue tena na sekta ya madiniTarehe 14/03/2019 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atazindua Soko la Madini ya Dhahabu Mkoani Geita, uzinduzi huo utafanyika katika Soko Kuu la Mjini Geita kuanzia majira ya saa mbili asubuhi.
Hilo soko litumike kununua dhahabu toka Kongo pia . Wafanyabiashara wazawa changamkieni hiyo fursa kabebeni dhahabu Kongo leteni kwenye hilo soko .Fursa hiyo.Uganda wana hayo masoko wakilenga dhahabu ya Tanzania na Kongo.Changamkeni au wafanyabiashara wadogo changamkieni kachukieni dhahabu Kongo changanyeni na ya kwenu pelekeni sokoni chap chap.Wizara ya mambo ya Ndani legezeni misharti yenu ya kutoa passport vijana waanze kusambaa kufuata dhahabu Kongo kuleta kwenye masoko ambayo wanunuzi wataifuata.Huo ujinga wenu wa kusema sijui mtu awe na barua ya mwaliko anakoenda ni upuuzi .kama ana kitambulisho cha taifa inatosha wapeni ma passport waingie Kongo .Mtu kwenda kutafuta fursa hahitaji mwaliko wala kadi ya mwaliko wa mtu sio kitchen party au harusi hiyo! .Vijana wengi ajira hawana haya masoko yaweza toa ajira kwa vijana wengi sio wachimbaji tu.Kitengo cha passport wake up.Tarehe 14/03/2019 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atazindua Soko la Madini ya Dhahabu Mkoani Geita, uzinduzi huo utafanyika katika Soko Kuu la Mjini Geita kuanzia majira ya saa mbili asubuhi.
Bavicha bwana tatizo mnakula siasa, mnavaa siasa, mnalala siasa humujunii nini kinaendelea ulimwenguni. Hivi kuna mzalishaji asiye hitaji soko?
Nenda chap chap.Ujanja wa biashara kuwahi.Fursa hiyo iko wazi Serikali isisumbue watakaoleta dhahabu toka Kongo kwa namna yeyoteNgoja nipeleke madini yangu niyatoe Congo Uku najua litakuwa ni soko la uhakika
Kiwango cha dhahabu chunya kinachozalishwa huko waweza linganisha na geita? Chunya dhahabu kiwango chake kidogo mno .Kwa hiyo na wale wa Chunya, Mpanda, na Songea itabidi wasafiri mpaka Geita?
Soko lilistahili kuzingatia urahisi wa kufikika na wauzaji na wanunuzi, usalama wa wauzaji na wanunuzi, sehemu za malazi zenye uhakika. Vyote hivyo vina walakini sana kwenye mkoa huu mpya wa Geita ambao juzi tu ulikuwa Wilaya.
Kwenye hili serikali ijipange kuhakikisha mambo yafuatayo la kwanza passport zipatikane kirahisi la pili watanzania wasibugundhiwe wakienda kongo na wakirudi mipakani na dhahabu zao hasa upande wa Tanzania.Ngoja nipeleke madini yangu niyatoe Congo Uku najua litakuwa ni soko la uhakika
Bavicha ndiyo nini?. Soko lilikuwepo toka mwanzo ndiyo maana biashara ilikuwepo. Unafikiri walikuwa wanakosa pa kuuza?.Bavicha bwana tatizo mnakula siasa, mnavaa siasa, mnalala siasa humujunii nini kinaendelea ulimwenguni. Hivi kuna mzalishaji asiye hitaji soko?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanye ulale.Hii mada iko juu ya uwezo wako wa akiliBavicha ndiyo nini?. Soko lilikuwepo toka mwanzo ndiyo maana biashara ilikuwepo. Unafikiri walikuwa wanakosa pa kuuza?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo umeandika kitu kizuriHilo soko litumike kununua dhahabu toka Kongo pia . Wafanyabiashara wazawa changamkieni hiyo fursa kabebeni dhahabu Kongo leteni kwenye hilo soko .Fursa hiyo.Uganda wana hayo masoko wakilenga dhahabu ya Tanzania na Kongo.Changamkeni au wafanyabiashara wadogo changamkieni kachukieni dhahabu Kongo changanyeni na ya kwenu pelekeni sokoni chap chap.Wizara ya mambo ya Ndani legezeni misharti yenu ya kutoa passport vijana waanze kusambaa kufuata dhahabu Kongo kuleta kwenye masoko ambayo wanunuzi wataifuata.Huo ujinga wenu wa kusema sijui mtu awe na barua ya mwaliko anakoenda ni upuuzi .kama ana kitambulisho cha taifa inatosha wapeni ma passport waingie Kongo .Mtu kwenda kutafuta fursa hahitaji mwaliko wala kadi ya mwaliko ya mtu sio kitchen party au harusi hiyo! .Vijana wengi ajira hawana haya masoko yaweza toa ajira kwa vijana wengi sio wachimbaji tu.Kitengo cha passport wake up.
Lilikuwepo wapi?Bavicha ndiyo nini?. Soko lilikuwepo toka mwanzo ndiyo maana biashara ilikuwepo. Unafikiri walikuwa wanakosa pa kuuza?.
Sent using Jamii Forums mobile app