Nothing new.
Ni blah blah za siku zote. Waziri anajaribu kujitutumua ili aonekane anafanya kazi mbele ya mfalme muovu aliyegoma kutubu.
Hadithi zao tumezichoka.
Utabaki kutegemea yatukie yanayokupendeza tu.Nothing new.
Ni blah blah za siku zote. Waziri anajaribu kujitutumua ili aonekane anafanya kazi mbele ya mfalme muovu aliyegoma kutubu.
Hadithi zao tumezichoka.
Niliwahi kusoma maandishi fulani yaasomeka hivi " kuku ni kuku tu jogoo ni jina".
Tatizo la Dr. Mpango anashindwa kuelewa kuwa mfanyabiashara anapokokotowa faida kwa bidhaa aliyouza huwa anaangalia thamani ya tzs ukilinganisha na usd.
Ikumbukwe wafanyabiashara wa Tanzania wanaagiza bidhaa nyingi toka nje na huko wananunua kwa dola hivyo tamko hili halisaidii kitu dawa hapa ni kuimarisha sarafu yetu inayoporomoka kila kukicha. Mfano yapo matangazo ya kupangisha nyumba kwa Usd hii haimaanishi mpangaji atumie fedha za kigeni kulipa pango bali atalipa pango hilo kwa exchange rate ya siku hiyo anayolipa.
HIVYO DR. MPANGO ANATWANGA MAJI KWENYE KINU
Mtalalamika sana siye tunapetaNothing new.
Ni blah blah za siku zote. Waziri anajaribu kujitutumua ili aonekane anafanya kazi mbele ya mfalme muovu aliyegoma kutubu.
Hadithi zao tumezichoka.
Anaye pinga atowe na sababu si kupinga tu.Ukawa lazima wapinge
Phd zimeanza lWalipigwa biti kali...walipewa wiki tu...
Afanyaje sasa...wacha amridhishe tu
Taarifa ipo sawa...ila amekosa kama haya yanaudhi sana ukizingatia ukubwa wa ofisi ya mtoa taarifa.Roman IV imetulia japo umeiwekea (iiii)
Sawa, Magufuli AKATUBU tu, ni jambo Jema sana.TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MATUMIZI YA FEDHA ZA KIGENI KATIKA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango ametoa maagizo kuhusu matumizi ya fedha za kigeni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kusisitiza kuwa utekelezaji wake uanze tarehe 1 Januari, 2018.
Maagizo hayo ni kama ifuatavyo: -
i. Bei zote hapa nchini zitangazwe kwa shilingi ya Tanzania. Bei hizi zinajumuisha kodi ya nyumba za kuishi na maofisi, bei ya ardhi, gharama za elimu na afya, bei za vyombo vya usafiri na vifaa vya kielektroniki.
ii. Bei ambazo walengwa wake wakuu ni watalii au wateja wasio wakazi zinaweza kutangazwa kwa fedha za kigeni na malipo yake yanaweza kufanyika kwa fedha za kigeni. Bei hizi zinajumuisha gharama za usafirishaji kwenda nchi za nje kupitia Tanzania, gharama za mizigo bandarini kwenda nchi za nje, gharama za viwanja vya ndege na viza kwa wageni, na gharama za hoteli kwa watalii kutoka nje ya nchi. Walipaji wanaotumia fedha za kigeni watambuliwe kwa vitambulisho vyao kama pasi za kusafiria na nyaraka za usajili kwa makampuni.
iii. Viwango vya kubadilishana fedha vitakavyotumika katika kuweka hizo bei katika sarafu mbili viwekwe wazi na visizidi vile vya soko. Ifahamike wazi kuwa ni mabenki na maduka ya fedha za kigeni tu yanayoruhusiwa kupanga viwango vya kubadilisha fedha kutokana na ushindani katika soko la fedha za kigeni.
iv. Mkazi yeyote wa Tanzania asilazimishwe kulipia bidhaa au huduma yeyote hapa nchini kwa fedha za kigeni.
Aidha Dkt. Mpango ameviagiza vyombo vya dola viwachukulie hatua za kisheria wale wote watakaobainika kukiuka maagizo haya ya Serikali.
IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO
moshi international school,someni ujumbe Huu ovaNiliwahi kusoma maandishi fulani yaasomeka hivi " kuku ni kuku tu jogoo ni jina".
Tatizo la Dr. Mpango anashindwa kuelewa kuwa mfanyabiashara anapokokotowa faida kwa bidhaa aliyouza huwa anaangalia thamani ya tzs ukilinganisha na usd.
Ikumbukwe wafanyabiashara wa Tanzania wanaagiza bidhaa nyingi toka nje na huko wananunua kwa dola hivyo tamko hili halisaidii kitu dawa hapa ni kuimarisha sarafu yetu inayoporomoka kila kukicha. Mfano yapo matangazo ya kupangisha nyumba kwa Usd hii haimaanishi mpangaji atumie fedha za kigeni kulipa pango bali atalipa pango hilo kwa exchange rate ya siku hiyo anayolipa.
HIVYO DR. MPANGO ANATWANGA MAJI KWENYE KINU
Hadithi za kila siku hiziNothing new.
Ni blah blah za siku zote. Waziri anajaribu kujitutumua ili aonekane anafanya kazi mbele ya mfalme muovu aliyegoma kutubu.
Hadithi zao tumezichoka.