Serikali kuanza ukaguzi na uhakiki wa magari binafsi nchi nzima

comrade igwe

JF-Expert Member
Jan 12, 2015
7,295
3,939
Naibu Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Mh Injinia Hamad Masauni amesema kuanzia tarehe 01/3/2018 serikali itaanza kukagua na kuhakiki ubora wa magari ya watu binafsi nchi nzima, ukaguzi na uhakiki huo utachukua muda wa miezi miwili.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar-esalaam Mh Masauni amesema serikali inataka kujiridhisha na ubora wa magari yanayotembea barabarani yale yatakayoonekana yana ubora yatawekewa stika maalumu kwa gharama ya sh 3000 kwa kila gari na kuruhusiwa kuendelea kuwa barabarani,aidha yale ambayo hayatakua na ubora wa kutembea barabarani yatazuiliwa.
 
Naibu Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Mh Injinia Masauni amesema kuanzia tarehe 01/3/2018 serikali itaanza kukagua na kuhakiki ubora wa magari ya watu binafsi nchi nzima, ukgauzi na uhakiki huo utachukua muda wa miezi miwili.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar-esalaam Mh Masauni amesema serikali inataka kujiridhisha na ubora wa magari yanayotembea barabarani yale yatakayoonekana yana ubora yatawekewa stika maalumu kwa gharama ya sh 3000 kwa kila gari na kuruhusiwa kuendelea kuwa barabarani,aidha yale ambayo hayatakua na ubora wa kutembea barabarani yatazuiliwa.

uizi na mianya yarushwa hakuna tija hapa
 
Wanahakiki ubora wa gari au kuna kitu kingine tu kinatafutwa?

Kama ni ubora wa magari kwa nini kazi isifanywe na TBS au kwa nini bunge lisishirikishwe kuunda sheria mpya kuipa mamlaka jeshi la polisi kuwa wakaguzi wa ubora wa magari!!!

Hivi nyuma ya nchi ya Tanzania ni nani ambaye huwa anatoa mawazo ya namna hii!!!
 
Mie napendekeza hili zoezi lifanywe na sumatra na tanrodi hao ndio wanao weledi wa kujua gari bovu, polisi wasimamie sheria kwa kuyakamata magari yasiyokuwa na stika
 
Naibu Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Mh Injinia Masauni amesema kuanzia tarehe 01/3/2018 serikali itaanza kukagua na kuhakiki ubora wa magari ya watu binafsi nchi nzima, ukgauzi na uhakiki huo utachukua muda wa miezi miwili.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar-esalaam Mh Masauni amesema serikali inataka kujiridhisha na ubora wa magari yanayotembea barabarani yale yatakayoonekana yana ubora yatawekewa stika maalumu kwa gharama ya sh 3000 kwa kila gari na kuruhusiwa kuendelea kuwa barabarani,aidha yale ambayo hayatakua na ubora wa kutembea barabarani yatazuiliwa.
Nilitamani nimuulize huyu Masauni kama ningekuwepo hapo wakati anatoa hii taarifa akisema magari binafsi alikuwa ana maanisha nini? Lengo hasa la hilo zoezi ni nini? Kukusanya mapato au kudhibiti magari ambayo hayana sifa za kutembea barabarani?
 
Back
Top Bottom