et wadau kwann walimu wa sayansi sec tusipewe mshahara juu kidogo coz tuna vipind ving zaid unakuta sc una 30 art ni 8. hii ni haki kwel
et wadau kwann walimu wa sayansi sec tusipewe mshahara juu kidogo coz tuna vipind ving zaid unakuta sc una 30 art ni 8. hii ni haki kwel
kigezi cha mshara ni level ya elimu na uzoefu hawaangalii idadi ya vipindi.
ukisema walimu wa science walipwe kwa kuwa wanavipind vingi haipo kumbuka kuna wale wa somo moja na wale wa masomo mawili hapo lazima mtofautiane tu vipindi. na hakuna mwalm wa vipindi nane hata siku moja
Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Peter Pinda,amesema serikali imepanga mwaka huu kuajiri walimu zaidi ya 35,000 kwa ajili ya shule za sekondari ili kukabiliana na tatizo la uhaba wa walimu nchini.
Ametoa kauli hiyo Jana (Alhamis) Tarehe 19 February 2015 wakati akizungumza na wakazi wa kata ya Kiwere, mara baada ya kukagua ujenzi wa maabara na kuzindua nyumba nne za walimu kwenye shule ya Sekondari Kiwere, tarafa ya Kalenga wilaya ya Iringa.
Alisema pia walimu hao watasambazwa kulingana na mahitaji ya maeneo husika Lengo ni kuhakikisha kuwa uhaba wa walimu unapungua kutokana na kufahamika kuwa baadhi ya maeneo kuna uhaba mkubwa wa walimu hasa vijijini.
N.B: Ondoeni wazo la kusema ajira hakuna.
Source: Radio One
Kwa maneno haya atakua amedanga,serikali (wizara) waliomba kibali cha kuajili hao walimu,ila Idara ya UTUMISHI,iliitaka wizira kuonesha walimu waliopo kwa masomo & vipindi na upungufu uliopo,baada ya wizara kufanya hivyo,imebaimika kuna,idadi kubwa ya walimu wa masomo ya SANAA (ARTS) wasiopungua elfu 20+ wamezidi na kuonekana walimu takriban 25+ wa masomo ya SAYANSI Wemepungua(wanahitajika),hivyo Idara ya utumishi imekusudia kutoa kibali cha kuajiri wa masomo ya SAYANSI TU.kwa maana hiyo hakuna ajira kwa walimu wa ARTS! Habari nimeipata kwa aliyopo wizarani.
Kwa maneno haya atakua amedanga,serikali (wizara) waliomba kibali cha kuajili hao walimu,ila Idara ya UTUMISHI,iliitaka wizira kuonesha walimu waliopo kwa masomo & vipindi na upungufu uliopo,baada ya wizara kufanya hivyo,imebaimika kuna,idadi kubwa ya walimu wa masomo ya SANAA (ARTS) wasiopungua elfu 20+ wamezidi na kuonekana walimu takriban 25+ wa masomo ya SAYANSI Wemepungua(wanahitajika),hivyo Idara ya utumishi imekusudia kutoa kibali cha kuajiri wa masomo ya SAYANSI TU.kwa maana hiyo hakuna ajira kwa walimu wa ARTS! Habari nimeipata kwa aliyopo wizarani.
usiamni kila unachoambiwa, muda mwingine jaribu kuchekecha hilo bichwa lako we kiazi
Sawa,ila ukweli ndio huo,km nawe ni masomo ya kiswahili uje shuleni kwangu nikupe kazi ya kukata mau!
usiamni kila unachoambiwa, muda mwingine jaribu kuchekecha hilo bichwa lako we kiazi
Wape Moyo!