Serikali Kilolo yatoa ufafanuzi baada ya picha ya mgonjwa kubebwa kwenye machela kwa sababu ya ubovu wa barabara

Serikali Kilolo yatoa ufafanuzi baada ya picha ya mgonjwa kubebwa kwenye machela kwa sababu ya ubovu wa barabara

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,234
“Napenda kutoa ufafanuzi kuhusu clip ya video ambayo inasambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha mgonjwa akibebwa ktk machela na kupelekwa hospitali na inaelezwa kuwa huo ndio utaratibu wa wilaya ya Kilolo, yani kwamba ktk eneo lile wagonjwa siku zote hubebwa ktk machela kupelekwa hospitali”-Amesema DC Nsemwa.

Soma Pia: Wananchi Kiwalamo Kilolo – Iringa wabeba wagonjwa kwa mikono kutokana na ubovu wa barabara

 
“Napenda kutoa ufafanuzi kuhusu clip ya video ambayo inasambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha mgonjwa akibebwa ktk machela na kupelekwa hospitali na inaelezwa kuwa huo ndio utaratibu wa wilaya ya Kilolo, yani kwamba ktk eneo lile wagonjwa siku zote hubebwa ktk machela kupelekwa hospitali”-Amesema DC Nsemwa.

Soma Pia: Wananchi Kiwalamo Kilolo – Iringa wabeba wagonjwa kwa mikono kutokana na ubovu wa barabara

Mlikuwa wapi siku zote hizo?????

Isingetoka hiyo klip Hilo andiko mgeandika??
 

Attachments

  • 20250528_191328.jpg
    20250528_191328.jpg
    232.9 KB · Views: 18
“Napenda kutoa ufafanuzi kuhusu clip ya video ambayo inasambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha mgonjwa akibebwa ktk machela na kupelekwa hospitali na inaelezwa kuwa huo ndio utaratibu wa wilaya ya Kilolo, yani kwamba ktk eneo lile wagonjwa siku zote hubebwa ktk machela kupelekwa hospitali”-Amesema DC Nsemwa.

Soma Pia: Wananchi Kiwalamo Kilolo – Iringa wabeba wagonjwa kwa mikono kutokana na ubovu wa barabara

Wananchi wanabebwa Kwa machela namna hii halafu ccm inajenga ofisi Kwa 34 billions daaaah alieloga akili zetu Wananchi atufungue tuwe kama wakenya tupiganie haki zetu
 
Billion Za Pesa Leo Na Kesho Zinatumika Dodoma Pale
Jakaya Kikwete Convention Centre
 
“Napenda kutoa ufafanuzi kuhusu clip ya video ambayo inasambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha mgonjwa akibebwa ktk machela na kupelekwa hospitali na inaelezwa kuwa huo ndio utaratibu wa wilaya ya Kilolo, yani kwamba ktk eneo lile wagonjwa siku zote hubebwa ktk machela kupelekwa hospitali”-Amesema DC Nsemwa.

Soma Pia: Wananchi Kiwalamo Kilolo – Iringa wabeba wagonjwa kwa mikono kutokana na ubovu wa barabara

Hamna mtu humu
 
“Napenda kutoa ufafanuzi kuhusu clip ya video ambayo inasambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha mgonjwa akibebwa ktk machela na kupelekwa hospitali na inaelezwa kuwa huo ndio utaratibu wa wilaya ya Kilolo, yani kwamba ktk eneo lile wagonjwa siku zote hubebwa ktk machela kupelekwa hospitali”-Amesema DC Nsemwa.

Soma Pia: Wananchi Kiwalamo Kilolo – Iringa wabeba wagonjwa kwa mikono kutokana na ubovu wa barabara

Ukweli ni kuwa barabara imeharibika mita 200 hivi na kusababisha bodaboda na magari madogo kushindwa kupita, ubovu huo umesababishwa na malori makubwa yanayobeba mbao. Hata hivyo kubebwa kwenye machela si dhambi vinginevyo na wanaobebwa kwenye machela viwanjani serikali iwe inatoa ufafanuzi kwani siku hizi vipo vigari vya viwanjani kwa kazi hiyo.
 
Wananchi wanabebwa Kwa machela namna hii halafu ccm inajenga ofisi Kwa 34 billions daaaah alieloga akili zetu Wananchi atufungue tuwe kama wakenya tupiganie haki zetu
Zile slams za Kenya hujaziona? We ni punguani tu umaskini uliopo Kenya haupo Tanzania msiokoteze cases moja moja, sehemu wananchi wajiongeze, wakenya km wana akili ardhi irudishwe kwa wananchi, hatuna la kujifunza Kenya, wakenya pona yao ni Tanzania km vp nenda mikoa wa kaskazini ndio pona ya wakenya. Kahamie kenya utuletee mrejesho, bwege unatamani kuishi kwa jirani? Pumbav
 
Back
Top Bottom