Serikali jibuni kuhusu kesi ya Lissu, utekaji wa watu, maamuzi katika michezo

Serikali jibuni kuhusu kesi ya Lissu, utekaji wa watu, maamuzi katika michezo

mwengeso

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2014
Posts
9,286
Reaction score
6,727
Serikali iliyoko madarakani iwape wananchi kuhusu yanayoendelea kisiasa na michezo, hasa mpira wa miguu.

1) Lissu anashitakiwa na wanachi wahudhuria mahakamani kusikiliza kesi wanapigwa na Polisi

2) Mdude anakamatwa nyumbani kwake na hajulikani alipo kama bado yuko hai

3) Padri Kitima anapigwa eneo la makazi na ofisi yake ya kazi, lakini Polisi wanasema alikuwa kwenye kinywaji

4) Mechi ya tarehe 8/3/2025 inaahirishwa pasipo kushirikisha timu mwenyeji na inapangwa tena kwa staili hiyo hiyo
 
Serikali iliyoko madarakani iwape wananchi kuhusu yanayoendelea kisiasa na michezo, hasa mpira wa miguu.

1) Lissu anashitakiwa na wanachi wahudhuria mahakamani kusikiliza kesi wanapigwa na Polisi

2) Mdude anakamatwa nyumbani kwake na hajulikani alipo kama bado yuko hai

3) Padri Kitima anapigwa eneo la makazi na ofisi yake ya kazi, lakini Polisi wanasema alikuwa kwenye kinywaji

4) Mechi ya tarehe 8/3/2025 inaahirishwa pasipo kushirikisha timu mwenyeji na inapangwa tena kwa staili hiyo hiyo
serikali yetu inaongozwa na chura kiziwi, pigeni makelele lakini wala hatuwasikii
 
Back
Top Bottom