nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Saalam!
Nchi kadhaa duniani zimeathirika kiuchumi, kielimu, kisiasa nk.
Kutokana na hali hiyo, Serikali nyingi zimechukua hatua za kuzikwamua sekta mbalimbali hasa za kiuchumi kuziongezea mitani.
Athari hizo nasi zimetukumba kiuchumi, kielimu nk.
Wanafunzi walilazimika kufunga shule kwa miezi mitatu bila kusoma wala tuition kwakuwa nchi ilichukua tahadhari ya ugonjwa wa covid19.
Kwa mantiki hii, niiombe serikali kupitia wizara yenye dhamana ya elimu kuwaongezea alama za ufaulu watoto ambao matokeo yao siyo mazuri.
Kufanya hivyo itakuwa Kama zilivyofanya serikali zenye uwezo kifedha kuingiza mitaji kwenye sekta na kuziokoa na kufirisika
Wapo watoto ambao walikuwa wanafanya vizuri kabla ya covid 19,baada ya kukaa nje ya masomo kwa siku90 walianza kufanya vibaya
Serikali ifikirie hili.
Asante
Nchi kadhaa duniani zimeathirika kiuchumi, kielimu, kisiasa nk.
Kutokana na hali hiyo, Serikali nyingi zimechukua hatua za kuzikwamua sekta mbalimbali hasa za kiuchumi kuziongezea mitani.
Athari hizo nasi zimetukumba kiuchumi, kielimu nk.
Wanafunzi walilazimika kufunga shule kwa miezi mitatu bila kusoma wala tuition kwakuwa nchi ilichukua tahadhari ya ugonjwa wa covid19.
Kwa mantiki hii, niiombe serikali kupitia wizara yenye dhamana ya elimu kuwaongezea alama za ufaulu watoto ambao matokeo yao siyo mazuri.
Kufanya hivyo itakuwa Kama zilivyofanya serikali zenye uwezo kifedha kuingiza mitaji kwenye sekta na kuziokoa na kufirisika
Wapo watoto ambao walikuwa wanafanya vizuri kabla ya covid 19,baada ya kukaa nje ya masomo kwa siku90 walianza kufanya vibaya
Serikali ifikirie hili.
Asante