Serikali iwaombe wawekezaji wachina waanzishe vyuo vya VETA nchini

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,904
Vyuo vya ufundi stadi vya wachina ni vizuri mno kwa hufundisha uundaji na utengenezaji wa vitu.Tanzania ya Viwanda inawezekana kwa kuandaa watu wetu watakaosoma kwenye vyuo vinavyofundisha utengenezaji wa vitu.Wachina sio wachoyo kwa teknolojia kama yalivyo mataifa ya magharibi au wahindi.

Wachina wakianzisha vyuo vyao hapa Tanzania wajuzi wa kuunda vitu watakuwa wengi na wenye uwezo wa jkuanzisha viwanda vyao vidogo vya kuunda na kuzalisha vitu vya viwandani.

Vyuo vya VETA vilivyopo havijaweza kutoa wataalamu wa kuunda vitu na kuvizalisha kiviwanda.Mtu akimaliza vyuo vya ufundi stadi China anakuwa na uwezo wa kuunda vitu na kuvizalisha
 
Wazo zuri,ila unajua kutokana hapo mwanzo strategies zetu Zipo weak,sasa tunashindwa kungamua kipi cha kuanza coz tumerundika mambo mengi
 
Vyuo vya ufundi stadi vya wachina ni vizuri mno kwa hufundisha uundaji na utengenezaji wa vitu.Tanzania ya Viwanda inawezekana kwa kuandaa watu wetu watakaosoma kwenye vyuo vinavyofundisha utengenezaji wa vitu.Wachina sio wachoyo kwa teknolojia kama yalivyo mataifa ya magharibi au wahindi.

Wachina wakianzisha vyuo vyao hapa Tanzania wajuzi wa kuunda vitu watakuwa wengi na wenye uwezo wa jkuanzisha viwanda vyao vidogo vya kuunda na kuzalisha vitu vya viwandani.

Vyuo vya VETA vilivyopo havijaweza kutoa wataalamu wa kuunda vitu na kuvizalisha kiviwanda.Mtu akimaliza vyuo vya ufundi stadi China anakuwa na uwezo wa kuunda vitu na kuvizalisha
Ni vema tuimarishe vyuo mbalimbali. Ila vyuo vikuu vijikite kusomesha masomo ya shahada, na kufanya utafiti, visiruhusiwe kuendesha kozi za vyeti.
 
Back
Top Bottom