Serikali itahamia Dodoma CHADEMA ikipewa ikulu?

Serikali itahamia Dodoma CHADEMA ikipewa ikulu?

Wanajamvi heshima kwenu.

Umuhimu wa Serikali kuu kuhamia katika mji mkuu wa nchi yetu Dodoma; Ulishaelezwa na maamuzi yalishapata ridhaa ya Wananchi Muda mrefu.
Mkapa akajaribu kulazimisha Wizara zihame sijui upepo gani umepita.

Serikali ya ccm mpaka leo miaka nenda rudi huoni kama wanahama Dar bali wanaweka mizizi Dar.

Kikwete kipindi chake jambo lililoshinda miaka 8 usitegemee miaka iliyobaki 2 IKULU ya MAGOGONI itahama.

Mpaka sasa imeshindikana Je? CCM, WAPINZANI, WATANZANIA ni mpaka tuwakabidhi CHADEMA UONGOZI WA NCHI / IKULU?

Kwa kuwa ni chama kinachobeba Agenda za Tanzania tuitakayo au

Natoa hoja

Kwanini Unauliza kiunafiki? Umesoma MOJA YA MIKATABA aliyosaini WAZIRI MKUU - PINDA huko CHINA? Ni kuipatia ARDHI Serikali ya CHINA kujenga Ubalozi wake MPYA DAR-es-SALAAM... na kwanini kama ni Marafiki wa pete na kidole wasiwaambie wajenge DODOMA???

Kwahiyo CCM yenyewe haiendi DODOMA
 
Wanajamvi heshima kwenu.

Umuhimu wa Serikali kuu kuhamia katika mji mkuu wa nchi yetu Dodoma; Ulishaelezwa na maamuzi yalishapata ridhaa ya Wananchi Muda mrefu.
Mkapa akajaribu kulazimisha Wizara zihame sijui upepo gani umepita.

Serikali ya ccm mpaka leo miaka nenda rudi huoni kama wanahama Dar bali wanaweka mizizi Dar.

Kikwete kipindi chake jambo lililoshinda miaka 8 usitegemee miaka iliyobaki 2 IKULU ya MAGOGONI itahama.

Mpaka sasa imeshindikana Je? CCM, WAPINZANI, WATANZANIA ni mpaka tuwakabidhi CHADEMA UONGOZI WA NCHI / IKULU?

Kwa kuwa ni chama kinachobeba Agenda za Tanzania tuitakayo au

Natoa hoja

CHADEMA wakishinda watahamia Msoga!!Swali jingine?
 
yapo Mambo mengi sn ambayyo serikali na mamlaka zake zinapaswa kuyatekeleza kw watanzania, bila kujali serikali ipo located mkoa upi. Kinachomata ni mamlaka, hata km yakihamia BAGAMOYO(UKWEREN). Au mtwara.
 
Chadema wamepanga makao makuu ya chama Chao yahamie Rombo. Hizo ni from kitchen.
 
Back
Top Bottom