mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Nasikia Pembe za John zimepatikana.... I mean zimekabidhiwa kwa Waziri Mkuu. Inasemekana John alifariki mwaka huu 2016. Wataalam wa Wanyamapori tusaidieni, serikali itahakiki vipi kuwa pembe hizo ni za Faru John na kwamba siyo za faru mwingine?
Elimu please?
Elimu please?