Serikali itahakiki vipi kuwa pembe hizo ni za Faru John na kwamba siyo za faru mwingine?

Ile ncha ya pembe naona wameikuna mpaka wamepata nusu kilo ambayo kwa bei ya haraka ni gorofa hapo
 
Majaliwa ni mwalimu tu,hawezi shindana na sisi zoologist wa Tanapa. Tumempa pembe za faru aliekufa enzi huyo yy anafundisha primary Ruangwa huko na kafunga mdomo wake.

Msilete siasa zenu kwenye wabobezi wa sayansi mtaumia.
 
Majaliwa ni mwalimu tu,hawezi shindana na sisi zoologist wa Tanapa. Tumempa pembe za faru aliekufa enzi huyo yy anafundisha primary Ruangwa huko na kafunga mdomo wake.

Msilete siasa zenu kwenye wabobezi wa sayansi mtaumia.

Nafikiri licha ya DNA, lakini pia kwa kuichunguza pembe hiyo kitaalamu unaweza kuainisha mnyama husika alikufa lini, akiwa na umri gani na hata mazingira/sababu ya kifo chake! Kwa vile ni swala la kiuchunguzi unaohusishwa na jinai, basi bila shaka hata kaburi alimozikwa huyo John litafukuliwa kuchukua sampuli mbali mbali
 
Nahis huyu John madume wengine walipikia fitna kwa wahifadhi wamuue
Maana anawachukulia warembo wao
 
Nasikia Pembe za John zimepatikana.... I mean zimekabidhiwa kwa Waziri Mkuu. Inasemekana John alifariki mwaka huu 2016. Wataalam wa Wanyamapori tusaidieni, serikali itahakiki vipi kuwa pembe hizo ni za Faru John na kwamba siyo za faru mwingine?

Elimu please?

View attachment 444508
Hatutawaelewa Faru John kama hatutaoewa ukweli wakw.
 
Majaliwa ni mwalimu tu,hawezi shindana na sisi zoologist wa Tanapa. Tumempa pembe za faru aliekufa enzi huyo yy anafundisha primary Ruangwa huko na kafunga mdomo wake.

Msilete siasa zenu kwenye wabobezi wa sayansi mtaumia.
ahahaaa :):):):)
 
Back
Top Bottom