Dira yao hiyo ndiyo ya mauaji ya halaiki,utekaji,unyanyasaji,ufisadi,uporaji wa chaguzi,uporaji rasilimali za taifa uongozi mmbovu kwenye mihimili yote ama dira ya kuwa mammlakani kwa nguvu ya mtutu wq policcm?Kamwe haiwezekani kuwaridhisha hawa wanaojiita wanademokrasia hebu Serikali ijikite katika dira 2050 bila woga wala kubabaika.
KWA HISANI YA MTU WATANZANIA!
Hamna mkuu nimesema tu shift yako ngumunimepewa hilo jina la buku 7 takribani miaka 10 humu jamvini ...njoo na jina jipya