dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Akiongea na vyombo vya habari katibu wa walimu amedai serikali isipowalipa nyongeza za mishahara kulingana na bajeti ya 2011/2012 ndani ya mwezi huu wa tano na kabla ya kuanza kwa bajeti mpya kuanza lazima wagome.
Amedai kuna madai mengi ya walimu na walihaidiwa kulipwa ndani ya mwaka huu wa fedha hawajalipwa ikiwemo na nyongeza za mishahara.
Concern.
Kwa nini wasigome serikali yetu bila nguvu haki yako sahau
Amedai kuna madai mengi ya walimu na walihaidiwa kulipwa ndani ya mwaka huu wa fedha hawajalipwa ikiwemo na nyongeza za mishahara.
Concern.
Kwa nini wasigome serikali yetu bila nguvu haki yako sahau