Serikali isije ikajishtukiza inalipa fidia isiyokuwa na ulazima

Jun 3, 2014
63
68
Ndugu zangu, nipende kuwasalimu, lakini kwa kifupi tu naweza kupata wasiwasi kwa baadhi ya watuhumiwa waliotajwa kua wanahisika kua wanuza madawa ya kulevya, na baada ya uchunguzi na kuonekana hawana hatia, wanaweza fungua kesi mahakamani kwa kudai kuchafuliwa mbele za wananchi.
Inawezekana ikalipa gharama za kesi za waliochafuliwa majina yao
 
Serikali haijamchafua MTU na hakuna kitu kama hicho cha kumlipa MTU hata wakifungua kesi.

Serikali iko makini na taratibu zake katika uwajibikaji na kufuata sheria hayo ni mambo ya hisia za watu tu.

Ukifuata sheria huwezi kuibana Serikali popote pale.
 
Mbona Waziri husika ameshaelezea kwenye vyombo vya habari husikilizagi nini mkuu?
 
Brand ya gsm iilipe fidia brand ya quality group kwa kuichafua.
Anayofanya konda ni kwa msukumo wa gsm.
 
Hii mijitu iliyo tajwa. ...MOLA mwenyewe atapambana nao!
 
Serikali haijamchafua MTU na hakuna kitu kama hicho cha kumlipa MTU hata wakifungua kesi.

Serikali iko makini na taratibu zake katika uwajibikaji na kufuata sheria hayo ni mambo ya hisia za watu tu.

Ukifuata sheria huwezi kuibana Serikali popote pale.

Serikali gani iko makini? Madudu ya IPTL me escrow takataka zote hizo tanesco hadi leo wanalipa hela za kutosha kwa mikataba ya ki...n ndio serikali makini?
 
Serikali haijamchafua MTU na hakuna kitu kama hicho cha kumlipa MTU hata wakifungua kesi.

Serikali iko makini na taratibu zake katika uwajibikaji na kufuata sheria hayo ni mambo ya hisia za watu tu.

Ukifuata sheria huwezi kuibana Serikali popote pale.

yeah right, rejea kesi ya Mtikila v Mrema 1995
 
Ikithibitika mtuhumiwa hajihusishi na madawa anaweza kufungua kesi na serikali itashindwa maana hamefanyia defamation au kuchafuriwa kwa maneno
 
Back
Top Bottom