Serikali iruhusu kuingiza saruji kutoka nje

Bowie

JF-Expert Member
Sep 17, 2016
4,372
6,078
Kwa sisi wakazi wa kanda ya ziwa Bei cement imefika shilling 24000 kwa mfuko mmoja. Ni muhimu kwa serikali ya awamu ya tano kufikiria kwanini wakati huu wa uchaguzi kwa cement kupanda bei kiasi hicho.

Serikali Iruhusu wafanya biashara waagize Cement Kutoka Kenya na Kodi ipunguzwe ili hili kero iishe.

Bei ya cement Kenya ni shilling 13000.

Pamoja na serikali kuvilinda viwanda vya cement hapa nchini lakini viwanda hivyo vimeshindwa ku supply cement kwa Bei nafuu.
 
Kwa sisi wakazi wa kanda ya ziwa Bei cement imefika shilling 24000 kwa mfuko mmoja. Ni muhimu kwa serikali ya awamu ya tano kufikiria kwanini wakati huu wa uchaguzi kwa cement kupanda bei kiasi hicho.

Serikali Iruhusu wafanya biashara waagize Cement Kutoka Kenya na Kodi ipunguzwe ili hili kero iishe.

Bei ya cement Kenya ni shilling 13000.

Pamoja na serikali kuvilinda viwanda vya cement hapa nchini lakini viwanda hivyo vimeshindwa ku supply cement kwa Bei nafuu.
Kama Kenya bei ni Kshs 13,000, ikifika Tz kutakuwa na unafuu kweli?
 
Kuagiza Kenya ni sawa, tusivilinde viwanda vya ndani kwa gharama za wananchi,
Ila cement ya Kenya kwao kwa bei ya kwao kwa mfuko wa kg 50 ni Sh 500 Hadi Sh 600
Miezi kadhaa iliyopita Serikali ilizungumzia swala la saluji kupanda hadi 15,000 kwa Dar es salaam

Japo nilinunua 14,000 kutoka 13, 500 mwezi July 2020
 
Kwa sisi wakazi wa kanda ya ziwa Bei cement imefika shilling 24000 kwa mfuko mmoja. Ni muhimu kwa serikali ya awamu ya tano kufikiria kwanini wakati huu wa uchaguzi kwa cement kupanda bei kiasi hicho.

Serikali Iruhusu wafanya biashara waagize Cement Kutoka Kenya na Kodi ipunguzwe ili hili kero iishe.

Bei ya cement Kenya ni shilling 13000.

Pamoja na serikali kuvilinda viwanda vya cement hapa nchini lakini viwanda hivyo vimeshindwa ku supply cement kwa Bei nafuu.
Tusubiri uchaguzi upite kwanza. Nahisi wako busy mno kutafuta kura.
 
Kwa sisi wakazi wa kanda ya ziwa Bei cement imefika shilling 24000 kwa mfuko mmoja. Ni muhimu kwa serikali ya awamu ya tano kufikiria kwanini wakati huu wa uchaguzi kwa cement kupanda bei kiasi hicho.

Serikali Iruhusu wafanya biashara waagize Cement Kutoka Kenya na Kodi ipunguzwe ili hili kero iishe.

Bei ya cement Kenya ni shilling 13000.

Pamoja na serikali kuvilinda viwanda vya cement hapa nchini lakini viwanda hivyo vimeshindwa ku supply cement kwa Bei nafuu.

Mbona saruji iko nyingi sana. Kupenda sio sababu ya gharama za uendeshaji?
 
Tumeamua kuwa wazalendo ikiagizwa kutoka nje wataipiga kodi 100% ili bei iwe maradufu na kuendelea kulinda viwanda vya ndani.
 
Mbona saruji iko nyingi sana. Kupenda sio sababu ya gharama za uendeshaji?
Kuna hujuma ya wazi inaendelea kutoka kwenye viwanda vya cement kuelekea uchaguzi mkuu. Haijawahi kutokea kwa bei ya cement kupanda kwa haraka kiasi hicho
 
Back
Top Bottom