nyie ndo vibaka wenyewe.wez,na walarushwa kazi kumnyonya mwananchi huku mnaachia ushuru kwenye pombe. Pumbavu kabisaHabari wadau. Ningependa serikali irahisishe ulipaji wa Kodi ya ardhi ilipwe kwa mfumo wa Luku Kama Kodi ya Jengo.
1 kurahisiha Kodi kukusanywa kwa wakati.
2 Kuutua mzigo wa Kodi kwa wananchi wa kulipa Kodi ya ardhi kidogo kidogo
Ndivyo itakavyokuwa,wanafanya tathmnini kwa kuangalia ufanisi wa kodi ya jengo via lukuHabari wadau. Ningependa serikali irahisishe ulipaji wa Kodi ya ardhi ilipwe kwa mfumo wa Luku Kama Kodi ya Jengo.
- urahisiha Kodi kukusanywa kwa wakati.
- Kuutua mzigo wa Kodi kwa wananchi wa kulipa Kodi ya ardhi kidogo kidogo
Kwa hiyo na viwanja, plots, mashamba yafungwe Meter za LUKU?Habari wadau. Ningependa serikali irahisishe ulipaji wa Kodi ya ardhi ilipwe kwa mfumo wa Luku Kama Kodi ya Jengo.
- urahisiha Kodi kukusanywa kwa wakati.
- Kuutua mzigo wa Kodi kwa wananchi wa kulipa Kodi ya ardhi kidogo kidogo
Utaratbu utapelekwa au kuendeshwa Kama huu wa Jengo kwani si Kuna nyumba hazina umeme na watalipa Kodi ya Jengo. Na huko kwenye ardhi italipika TU mkuuKwa hiyo na viwanja, plots, mashamba yafungwe Meter za LUKU?
Mkuu nawatakia na kujitakia mema.Labda nikuelimishe kwanza kazi ambao iliwashinda waliotuletea mradi kabla hawajatupa Elimu tuwa elewe.Hututakii mema wewe