Kwani kinachofanya nyumba zipande bei ni nini? Wewe ukikaa kule Sinza kulikosongamana kama mabanda ya mbuzi, kuna hadhi ya kulipa sh hata 30,000 kwa mwezi? You are being so unfair. Naona Dar inawalemaza sana akili. Waulize waliohama kutoka Dar na sasa wanaishi Dodoma. Watakwambia real experience.