Serikali iongeze nauli ya daladala hata kwa shilingi 100 tu ili kuendana na bei ya mafuta kwasasa.

Bonde la Baraka

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
4,580
7,938
Bei ya daladala kwa safari fupi jijini Dar es salaam ni Sh.400 na ndefu 600-750 na ndefu zaidi sh.1000 kama sijakosea.
Bei hii ilipangwa wakati mafuta yakiuzwa chini ya 2000 Tshs. Sasa bei imekuwa juu lakini bei bado ni ileile na ikumbukwe kuwa wamiliki wa daladala ni wafanya biashara ambao wanataka kupata faida na si kutoa huduma tu.
Najua wananchi wataumia ila biashara yoyote duniani lazima bei ziendane na gharama za uendeshaji.
Waumiaji wakubwa ni makondakta na madereva maana boss yeye anachohitaji ni hesabu yake tu suala la mafuta halimuhusu.
Viongozi wanakaa kimya maana wanaogopa kushuka thamani ya kisiasa ila lazima wajue kuwa kuna watu wanaumia.
Hata dukani bidhaa hupanda na kushuka kulingana na gharama za manunuzi(uendeshaji).
 
Bei ya daladala kwa safari fupi jijini Dar es salaam ni Sh.400 na ndefu 600-750 na ndefu zaidi sh.1000 kama sijakosea.
Bei hii ilipangwa wakati mafuta yakiuzwa chini ya 2000 Tshs. Sasa bei imekuwa juu lakini bei bado ni ileile na ikumbukwe kuwa wamiliki wa daladala ni wafanya biashara ambao wanataka kupata faida na si kutoa huduma tu.
Najua wananchi wataumia ila biashara yoyote duniani lazima bei ziendane na gharama za uendeshaji.
Waumiaji wakubwa ni makondakta na madereva maana boss yeye anachohitaji ni hesabu yake tu suala la mafuta halimuhusu.
Viongozi wanakaa kimya maana wanaogopa kushuka thamani ya kisiasa ila lazima wajue kuwa kuna watu wanaumia.
Hata dukani bidhaa hupanda na kushuka kulingana na gharama za manunuzi(uendeshaji).
I
Umama
 
Ila fahamu kuwa konda na dereva kama kila mmoja alipaswa kulala na 20k kila mmoja sasa watalaza 15k .Je, hapa uchumi wa familia haujaguswa?.
Bei ambayo ipo iliwekewa na Tolerance ya economy Inflation kwa 35% soo bei ya mafuta haija athiri Uendeshaji wa biashara ya daladala
 
Ila fahamu kuwa konda na dereva kama kila mmoja alipaswa kulala na 20k kila mmoja sasa watalaza 15k .Je, hapa uchumi wa familia haujaguswa?.
Tatizo mna magari mabovu hela yote mnaishia gereji na kwenye mafuta na kulipa Offence fines.

Iyo bei ipo sawa tu labda mafuta yazidi Tsh. 2600/= kwa lita ndo hapo Itawabidi Sumatra Ku review Transport fares
 
Watu hawajui uchungu wa biashara lkn naelwa tabu mnayopata Ndugu wa daldala lkn pia mtuvumilie kama wateja wenu au jamii iliowazunguka sabb na wao pia hawna hela
 
Poa chief, wape hi hapo HQ TPDC

Tatizo mna magari mabovu hela yote mnaishia gereji na kwenye mafuta na kulipa Offence fines.

Iyo bei ipo sawa tu labda mafuta yazidi Tsh. 2600/= kwa lita ndo hapo Itawabidi Sumatra Ku review Transport fares
 
Ila fahamu kuwa konda na dereva kama kila mmoja alipaswa kulala na 20k kila mmoja sasa watalaza 15k .Je, hapa uchumi wa familia haujaguswa?.
Kwani unadhani hao abiria wa hizo daladala maisha yao bado yapo kama vile zamani?
 
Bei ya daladala kwa safari fupi jijini Dar es salaam ni Sh.400 na ndefu 600-750 na ndefu zaidi sh.1000 kama sijakosea.
Bei hii ilipangwa wakati mafuta yakiuzwa chini ya 2000 Tshs. Sasa bei imekuwa juu lakini bei bado ni ileile na ikumbukwe kuwa wamiliki wa daladala ni wafanya biashara ambao wanataka kupata faida na si kutoa huduma tu.
Najua wananchi wataumia ila biashara yoyote duniani lazima bei ziendane na gharama za uendeshaji.
Waumiaji wakubwa ni makondakta na madereva maana boss yeye anachohitaji ni hesabu yake tu suala la mafuta halimuhusu.
Viongozi wanakaa kimya maana wanaogopa kushuka thamani ya kisiasa ila lazima wajue kuwa kuna watu wanaumia.
Hata dukani bidhaa hupanda na kushuka kulingana na gharama za manunuzi(uendeshaji).
wewe ni lazima tu utakuwa ni mpiga debe
 
Back
Top Bottom